Watapigiwaje kura na siasa zao za majitaka?Kila uchaguzi tunaona chadema ikipata support kubwa sana kutoka kwa wananchi ila matokeo huja tofauti na muonekano wa kampeni zake...KUNANI HAPA?:A S 13: MI SIELEWI
Wanakuwa wamejiandikisha ila wapiga kura hubadili mwelekeo waonapo siasa zao za maji taka na zilizojaa sra za kisanii na hasa pale ambapo watu mbalimbali huweka bayana maovu yao kama hili linalomtafuna SLAA na matumizi mabaya ya fedha za chama. Kwa kifupi ni kwamba wananachi huchambua mbichi na mbivu dakika za mwisho.Wanakuwa hawakujiandikisha kama wapiga kura.
Sababu ni kuwa CCM wanaendeleza udhalimu wao, ila chadema tunasema ALUTA KONTINUA maana yake MAPAMBANO YANAENDELEA. Kama hujui tuko vitani kumng'oa adui wa ustawi wa taifa letu (CCM) ambaye ndo donda ndugu la maendeleo ya Mtanzania, Mungu mkubwa tutashinda tu. Fuatilia Mao, Che Guevara, Fidel Castro, Samora Machel, Patrice Lumumba , Kwame Nkrumah,John Garang, n.k walipambambana na wakashinda, nakuhakikishia CCM itashindwa very soon omba Mungu wako uwe hai tu.
tuliyaona kwenye mikutano ya CUF miaka ya nyuma. au wewe umezaliwa mwaka gani?
Ni pemba tu ndo walioweza kujaa kwenye mikutano na wakaweza kujaa kwenye kupiga kuwa na baadae wakajaa kwenye ushindi.
Wataishia kusema tu wanadhulumiwa mpaka pale watakapoacha kupeana vyeo kiukoo, mpaka watakapoacha kutukana majukwaani na mpaka pale watakapoacha kutumia raslimali za chama kwa ajili ya MBOWE, SLAA Na MSHUMBUZI.