Kunachangamoto gani kwa wanaotumia laini za uwakala used?

Amante

JF-Expert Member
Jul 2, 2017
228
216
Habari wana jf, naomba kufahamu kwa wale waliowahi kununua laini za uwakala kama tigo pesa na mpesa zilizotumika ama zimesajiliwa na majina mengine kuna changamoto zozote zimewahi kuwakuta kwa kutumia lain hizo?
 
Habari wana jf, naomba kufahamu kwa wale waliowahi kununua laini za uwakala kama tigo pesa na mpesa zilizotumika ama zimesajiliwa na majina mengine kuna changamoto zozote zimewahi kuwakuta kwa kutumia lain hizo?
Chagamoto kama zipi mkuu? Be specific
 
Chagamoto kama zipi mkuu? Be specific
kuna mtu ameniambia kua baada ya kueka float mtu aliekuuzia anaweza akaenda kutoa report amepoteza lain halaf ukafungiwa na akachukua pesa ulizoeka, is it possible??
 
Habari wana jf, naomba kufahamu kwa wale waliowahi kununua laini za uwakala kama tigo pesa na mpesa zilizotumika ama zimesajiliwa na majina mengine kuna changamoto zozote zimewahi kuwakuta kwa kutumia lain hizo?
Amna....

More than 70% of Wakala awatumii jina zao!...


Mpesa pekee ndo tatizo kidogo na tatizo lake ni pale ikipotea kurenew kama huna docment ni ngumu
 
Na huu usajili uliopo Wa kutumia nida I'd sijui mnafanyaje,au hauwahusu....
 
Amna....

More than 70% of Wakala awatumii jina zao!...


Mpesa pekee ndo tatizo kidogo na tatizo lake ni pale ikipotea kurenew kama huna docment ni ngumu
Na vipi kuhusu uhakiki wa kusajili laini kwa fingerprint hauwezi kuleta shida?
 
Na vipi kuhusu uhakiki wa kusajili laini kwa fingerprint hauwezi kuleta shida?
Hauleti shida, uo mfumo wa uwakala unafuata rules and regulations za BOT......

Unaeza kuisajili kwa Jina lako lakin code ya muamala na account ya Pesa ikabaki na jina lile lile.......

Usajili wa line na akaunti ya fedha ni vitu viwili tofauti! Ukiwa na Documents zako unaeza badili jina pia na ndo vizur zaid
 
hakuna changamoto kabisa
Habari wana jf, naomba kufahamu kwa wale waliowahi kununua laini za uwakala kama tigo pesa na mpesa zilizotumika ama zimesajiliwa na majina mengine kuna changamoto zozote zimewahi kuwakuta kwa kutumia lain hizo?
 
Hauleti shida, uo mfumo wa uwakala unafuata rules and regulations za BOT......

Unaeza kuisajili kwa Jina lako lakin code ya muamala na account ya Pesa ikabaki na jina lile lile.......

Usajili wa line na akaunti ya fedha ni vitu viwili tofauti! Ukiwa na Documents zako unaeza badili jina pia na ndo vizur zaid
Nashkuru kwa kunijuza mkuu
 
Habari wana jf, naomba kufahamu kwa wale waliowahi kununua laini za uwakala kama tigo pesa na mpesa zilizotumika ama zimesajiliwa na majina mengine kuna changamoto zozote zimewahi kuwakuta kwa kutumia lain hizo?
Unataka kuleta changamoto....!
 
Yamenikutaaa hayaa uwiiii
Amna....

More than 70% of Wakala awatumii jina zao!...


Mpesa pekee ndo tatizo kidogo na tatizo lake ni pale ikipotea kurenew kama huna docment ni ngumu
 
Back
Top Bottom