Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,033
- Thread starter
- #101
Ahaaha niliishindwa 'addit'!Kijana wa A1 Safi sana,
Ahaaha niliishindwa 'addit'!Kijana wa A1 Safi sana,
Sasa huo ugumu ulio uoba hakuba aliye kubishia huo ni kwako, lakini kwetu sisi wengine ni tofauti.Mimi sijawahi kukosa A ya hesabu mtihani wa mwisho.Kuanzia primary,O'level hadi A'level.
Mimi nakuambia kitu nilichokutana nacho wewe unakisia tu!
Halafu maisha ya O'level na A'level kamwe hayawezi fanana.Mimi kuna mtu nimetoka naye shule moja O'level na hiyo addit aliifanya vizuri sana na mtihani wa ACSEE alikosa A mimi nikaipata.
Haya.Sasa huo ugumu ulio uoba hakuba aliye kubishia huo ni kwako, lakini kwetu sisi wengine bi tofauti.
Sijawahi kukutana na mtu aliyesoma PCM au aliyekuwa anajua hesabu akalalamika hesabu ni ngumu ilimsumbua.