Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,250
- 2,314
Bam sehemu ngumu ni Probability tu...Hapana mkuu mtu aliesoma bam akipewa mtihani wa Additional math bado kuna vitu atakuwa anaona nyota nyota mfano logic, watu wa BAM hawasomi kabisa. Bam ni ileile ya olevo kinacho ongezea ni diff, intergr, na calculating devices.