Kuongelea masuala ya dini na kutuhumu chama flani ni cha kidini hayajaanza leo. Nyerere alitudokezea kwamba mara nyingi watu wakushindwa kwa hoja huanza kutumia mbinu za kupandikiza udini na ukabila.
CUF ilipokuwa kwenye PEAK tukashawishiwa ni chama cha kiislam. CHADEMA nao walipojipambanua wakaanza kusema ni chama cha wachaga. Sasa la uchaga limekosa nguvu wanaenda hatua ya mwisho kwamba ni chama cha Kikristo.
Kwa sasa CHADEMA na CUF na vyama vingine wameungana. Mimi ni mwanamageuzi. Nashauri viongozi wa UKAWA mnapokutana mtafute jinsi ya kuweza kupambana na hii propaganda chafu inayoweza kutufikisha pabaya kama kule Africa ya Kati.
Shame on you.
CUF ilipokuwa kwenye PEAK tukashawishiwa ni chama cha kiislam. CHADEMA nao walipojipambanua wakaanza kusema ni chama cha wachaga. Sasa la uchaga limekosa nguvu wanaenda hatua ya mwisho kwamba ni chama cha Kikristo.
Kwa sasa CHADEMA na CUF na vyama vingine wameungana. Mimi ni mwanamageuzi. Nashauri viongozi wa UKAWA mnapokutana mtafute jinsi ya kuweza kupambana na hii propaganda chafu inayoweza kutufikisha pabaya kama kule Africa ya Kati.
Shame on you.