Ukitaka kujua chama ni cha kidini au kikabila usipate shida angalia safu za viongozi wake hasa wa juu wa CHAMA.
Hebu angalia CHADEMA
mwenyekiti-Mkristo
katibu mkuu-Mkristo
Mweka hazina-Mkristo
MWENYEKITI BODI YA WADHAMINI MKRISTO
Mwanasheria mkuu-Mkristo
Kiongozi wa BAVICHA-MKristo
Kiongozi-BAWACHA-MKRISTO
Kiongozi baraza la wazee-mkristo
Nenda CUF
mwenyekiti-MUISLAMU
kATIBU MKUU- MUISLAMU
Mkuu WA haki za binadamu-muislamu
Mkuu wa fedha-muislamu
mkuu wa usalama-muislamu
mkuu wa uchaguzi -muislamu
mkuu wa kina mama-muislamu
mkuu wa vijana-muislamu
Kwa hali hiyo utasemaje chama ni cha kidini au siyo?
CCM
Mwenyekiti - Jakaya Halfzn mrisho kikwete
katibu mkuu -Abdul-Aman kinana
Katibu -itikadi na uenezi - Nape Nnauye
MwekaHAZINA - Zakia meghji
Mwenyekiti - Uvccm - SADIFA
Mwenyekiti wa WAZAZI - Abdallah Bulembo
Mwenyekiti - UWT(Wanawake) - Sophia Simba
Katibu -siasa na mambo ya nje -Asha Rose Migiro
nhii ndiyo safu mahiri ya ccm,,kwa kutaja wachache tu.
ndg yetu tunaomba ufafanuzi kuhusu safu hii