masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,800
- 16,823
- Thread starter
- #21
Mdai kama vipi peleka kesi kwa mwenyekiti wa mtaa anakua mbabe kwenye jasho la mtu
ni kada na kule wanamfahamu ,aana sikua namjua baada ya hiyo ishu nikaona huyu mtu ni mtanzania?na kama ni mtanzania ujasiri ana utoa wapi??kwa hiyo nikaja nikajua ni kada