kuna watu ni wababe jamani

kuna watu ni wababe jamani

Mdai kama vipi peleka kesi kwa mwenyekiti wa mtaa anakua mbabe kwenye jasho la mtu

ni kada na kule wanamfahamu ,aana sikua namjua baada ya hiyo ishu nikaona huyu mtu ni mtanzania?na kama ni mtanzania ujasiri ana utoa wapi??kwa hiyo nikaja nikajua ni kada
 
Mimi nilitukanwa wakati pesa yangu. Mtu namtumia meseji ya kukumbushia deni langu najibiwa "weee ukome tena ukomae" nikawa mdogo tu
 
Ungemuuliza kuwa imekuwaje, maana ulisema utanilipa kesho yake ukienda ATM? Kwa hiyo utanilipa lini, maana na mimi nimebanwa? Baada ya hapo we mwambie ok, lakini nilitoa akiba yangu kwa kujua utarejesha. kisha achana naye tu, act like nothing happened!
 
Ungemuuliza kuwa imekuwaje, maana ulisema utanilipa kesho yake ukienda ATM? Kwa hiyo utanilipa lini, maana na mimi nimebanwa? Baada ya hapo we mwambie ok, lakini nilitoa akiba yangu kwa kujua utarejesha. kisha achana naye tu, act like nothing happened!

i did that nilijieleza kama dakika 5 nzima mwisho akanipa hilo jibu
 
acha tu ndugu yaan jamaa kila siku anaenda kazini mpaka leo huwa nasema kulipa deni kipaji sio uwezo

Kulipa deni ni fani, au mtu unajifunza na ukifuzu practical yake inabidi uwe mzalendo.
 
duh hivi huo ujasiri mnautoaga wapi mnafundishwaga jandoni ama??
Hapana Mkuu ni wa kuzaliwa nao tu.......kuna wakati fulani miaka ya themanini kulitokea vurugu kwenye mnada Mdogo wangu alipigwa mshale kwenye makalio nilitaka kuuchomoa lakini alinishauri tuuache hivyo hivyo ili baba akauone ulivyoingia.......na ikawa hivyo...........
 
kuna msanii Bellenain aliimba "Ukitaka kuwa mbaya dai chako-umejenga uadui kati yangu mi na ndugu zako" "bora mfadhili mbuzi, utakula mchuzi" ndo hivyo! Dawa yake hakuna kukopeshana.
 
nakumbuka nilishakaaga sehemu mpangaji mwenzangu akanigongea mida ya jioni akaniambia naomba niazimishe kiasi flani cha pesa hapa sina sijapitia ATM alafu akadai kuna mtu nataka nimtumie jamaa ni mkurya,nikampatia kwa madai ya kunipa kesho yake jioni sasa mimi nimekaa almost kama wiki hivi jamaa hajiongezi mmh nikasema kama alivokuja kunigongea na mimi ngoja niende japo hakikua kiasi kikubwa cha ela ila sikuona umuhimu wa kunyamaza kwan halikua patano letu unajua jamaa alinijibuje SASA MIMI UNANIDAIJE WAKATI SINA(imagne kwa lugha ya kikurya) mpaka naondoka sikumdai
WEWE USHAFANYIWAGA UBABE GANI?

nimecheka kwel nlivoeka hyo saut ya kikurya,,hyo inaitwa ukitaka ubaya dai chako
 
Hapana Mkuu ni wa kuzaliwa nao tu.......kuna wakati fulani miaka ya themanini kulitokea vurugu kwenye mnada Mdogo wangu alipigwa mshale kwenye makalio nilitaka kuuchomoa lakini alinishauri tuuache hivyo hivyo ili baba akauone ulivyoingia.......na ikawa hivyo...........

hhhahahaH mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu jamani hata kama ni kumantain status dogo alifunika
 
kuna msanii Bellenain aliimba "Ukitaka kuwa mbaya dai chako-umejenga uadui kati yangu mi na ndugu zako" "bora mfadhili mbuzi, utakula mchuzi" ndo hivyo! Dawa yake hakuna kukopeshana.

tatizo sio kukopeshana tatizo ni mtu kukunyima chako kijasiri hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom