masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,800
- 16,821
nakumbuka nilishakaaga sehemu mpangaji mwenzangu akanigongea mida ya jioni akaniambia naomba niazimishe kiasi flani cha pesa hapa sina sijapitia ATM alafu akadai kuna mtu nataka nimtumie jamaa ni mkurya,nikampatia kwa madai ya kunipa kesho yake jioni sasa mimi nimekaa almost kama wiki hivi jamaa hajiongezi mmh nikasema kama alivokuja kunigongea na mimi ngoja niende japo hakikua kiasi kikubwa cha ela ila sikuona umuhimu wa kunyamaza kwan halikua patano letu unajua jamaa alinijibuje SASA MIMI UNANIDAIJE WAKATI SINA(imagne kwa lugha ya kikurya) mpaka naondoka sikumdai
WEWE USHAFANYIWAGA UBABE GANI?
WEWE USHAFANYIWAGA UBABE GANI?