Kuna mtu nilisoma nae primary ee bana akaniomba namba ya simu nikampa,hee nikashangaa napigiwa na watu wengi mwishoni wanamalizia nimepewa na fulan namba yakoMwingine anaanxa kukuulizia watu wengine wa kitambo.. sijui nani yuko wapi...?wanaboa sana
kwanini usiwakatishe. unasema tu samahani labda nina mazungumzo na mtu hapa wa karibu. au unatafta tu sababu.Kuna mtu nilisoma nae primary ee bana akaniomba namba ya simu nikampa,hee nikashangaa napigiwa na watu wengi mwishoni wanamalizia nimepewa na fulan namba yako
Nikaja onana nae nikamuuliza mbona uligawa namba yangu hivyo maana sio kila mtu mi nalikua karibu na mimi
HahahahahaKuna mtu nilisoma nae primary ee bana akaniomba namba ya simu nikampa,hee nikashangaa napigiwa na watu wengi mwishoni wanamalizia nimepewa na fulan namba yako
Nikaja onana nae nikamuuliza mbona uligawa namba yangu hivyo maana sio kila mtu mi nalikua karibu na mimi
Dina,wewe tabu yako,unapenda myu akusifie kama hivi"He Dina?,vipi mwenzangu nbona umependeza hivoo?,daah Dina na hiyo bambataa ilivyonona, hakyanani waume utawatoa roho wewe au?"Kuna watu huwa wanakera sana anakukuta umejikalia zako kimya tu mnasalimiana halaf anaanza kukupa story za huko alikotoka au tu masomo anayosoma ataanza kukuhadithia hadi formula za hesabu jamani yaan hata vitu huvijuii ,,,hivi kumsimulia mtu kitu ambacho hana idea nacho kabisa ndio nini ,,,umemuona mwenzio hayupo poa kakaa kimya tu we unajiongelesha weee yaan inabidi ubaki kuitikia eeee,aaa kumbe
Unajua kuna story zingine hua hazisisimui kabisa na ndio ukute ukute uko vibaya una mawazo yako ,
Mi kuna muda hua napenda kukaa kimya tu sitaki mtu anisimulie sijui hiki vile halaf unavyonisimulia hata havinichangamshiii aaaaarghhhhhhhhhh,
Inaboa basi tu muwe mnasoma alama na nyakati huyu mtu leo yupo kimya nimuache tu ,haya bana
Scorpio mambo?,vipi ile course ulifanikiwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwingine anaanza kukupa na historia ya familia yao plus siri zote na hata havikuhusu.