Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,016
- 16,150
Siku zote najinasibu ni mtu wa gambe, yes napiga tungi kwelikweli na hapa napost hii. Nimerudi nimemkuta mke wangu Muanglican anasali rosali. Nimefunguliwa na Dada Wa kazi, kanipakulia mke yupo tu chumbani.
Naingia chumbani ananiambia “NAJUA UNA MTOTO NJE YA NDOA YETU, TUMEKAAA MIAKA MINNE HATUJAPATA MTOTO. Nimekusamehe” Nilikuwa namkuta hivyo tu kumbe ana maombi yake. Leo kaniletea vipimo ana mimba na anamjua mtoto wangu wa nje na ameongea na yule mama akijifanya dada yangu na kamkatia bima kupitia mshahara wake
Ananipendaje Huyu. Yote haya ananiambia usiku huuu nimerudi mtingo “Usipolewa Mme wangu ni mstaarabu Sana ila Ukilewa tu hauchagui. Nimekukuta na watoto wawili (niliwapata ujanani) umeniongezea mwingine. Simwambii mama nitamlea mama Wangu”
Wa nje ndio mdogo, ndio amezaliwa na yeye ndio mjamzito.
Yaani pombe imekata paaaaaa.
Naingia chumbani ananiambia “NAJUA UNA MTOTO NJE YA NDOA YETU, TUMEKAAA MIAKA MINNE HATUJAPATA MTOTO. Nimekusamehe” Nilikuwa namkuta hivyo tu kumbe ana maombi yake. Leo kaniletea vipimo ana mimba na anamjua mtoto wangu wa nje na ameongea na yule mama akijifanya dada yangu na kamkatia bima kupitia mshahara wake
Ananipendaje Huyu. Yote haya ananiambia usiku huuu nimerudi mtingo “Usipolewa Mme wangu ni mstaarabu Sana ila Ukilewa tu hauchagui. Nimekukuta na watoto wawili (niliwapata ujanani) umeniongezea mwingine. Simwambii mama nitamlea mama Wangu”
Wa nje ndio mdogo, ndio amezaliwa na yeye ndio mjamzito.
Yaani pombe imekata paaaaaa.