Unagundua kumbe huyu mwanamke Ni mpuuzi,yaani kutumia posho au mshahara wake kujigharamia kula yake mwnyw, kwa afya Yake mwnyw, bado anaona Kama hasara kiuchumi kwake na ananitolea Maneno ya shombo hivi.
Anyway, Basi unamwambia "POA nasign out, wee njaa ikizd sn utatoa Ela yako ujinunulie chakula ule, ikishindikana kujinunulia nikirudi nikute turubai la msiba hapa nyumbani kwako, umekufa kwa njaa". Anakujibu "UTAJUA MWENYEWE, mwanaume una roho mbaya Sana wewe" unakata Simu na kuendelea na shughuli zako.
MDA Si mrefu tangu ukate Simu,
Unapokea sms za shombo akidai anajuta kukufahamu na kua na Wewe kwny mahusiano,wewe ni mwanaume mchoyo usiemjali kwa chochote kile tangu amekujua, unajali familia yako tu, hata akifa kwa njaa kwako ni sawa TU.
Inabd umpigie kutaka Ufafanuzi wa kauli ya "usiyemjali kwa chochote kile tangu amekujua" imemponyoka au Yuko serious na anachosema?. Anakujibu kwamba "ndio am serious,unadhani hivyo vi elfu tano tano vyako unavyotoa nawe utajiita mwanaume Kati ya wanaume wanaojua kupenda na kujali wanawake wao?"
Ukiwa bado unaitafakari hiyo kauli ya fedhea,anaongezea kauli nyingine ya kuudhi "Wee Kama Huwezi kunihudumia,Toa go ahead uone jins gan wanaume wenzako wanavojua kuhudumia wanawake wao". Unamjibu kwa kifupi sana "poa,Go ahead"