Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,284
- 4,334
- Thread starter
- #41
😂Bear Kama Bear sheeenz kabitha
😕 Hyo dp ni wewe?Unachekaaa
Osama alivyokuwa mtoto😕 Hyo dp ni wewe?
🤣🙌 Sawa sawaOsama alivyokuwa mtoto
Tumia akili Uzi usikudake 🤣🤣🙌 Sawa sawa
Hiyo picha kuna mtu namfananishaTumia akili Uzi usikudake 🤣
Mtu gani ?Hiyo picha kuna mtu namfananisha
😂 YaisheMtu gani ?
Sipendi mwanaume mweupe 😎Tall
White handsome
Dark handsome 😛
Hz chuki Hadi lini Mama Bhoke 😁Sipendi mwanaume mweupe 😎
Anza wewe kwanza, futa chuki kwa wanyaki 😂Hz chuki Hadi lini Mama Bhoke 😁
[emoji1666][emoji1666]Umenifurahisha kwamba mwanamke anaweza kukaa mwaka hajatumia akili yake. Hili nakubaliana na wewe kabisa.
Ila naomba nikupe angalizo, wanawake hua wanaanza kutumia akili zaidi kuanzia miaka 50 na kuendelea. Yaani menopause hapo wanawake huanza kutumia akili zaidi. Wanawake wana akili nyingi sana ila hua hazitumiki, kinachotumika zaidi ni hisia. Kwa wanawake hisia hu over rule ubongo wao.
Wanawake wangetumia akili zaidi zao utamu tungekua tunapata kwa shida sana, sana.
Bila mwanaume kua na roho mbaya maisha hayaendi.
[emoji16][emoji1666][emoji1666]View attachment 2393143
Dada zetu,Mama zetu,Shangazi zetu na Bibi zetu:Mungu aliyewaumba aliwanyima utashi (akili) dhidi yetu na alikuwa na lengo lake-kuendelea kubishana na Mwanamke ni sawa na kupigia mbuzi gitaa.