Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,862
- 2,937
Sisi tuendeleeee kulaa maisha bhnCheers 🥂 Sweetheart
Sisi tuendeleeee kulaa maisha bhnCheers 🥂 Sweetheart
Haya tafuta huyo wa kawaida.... acha kupiga piga keleleeee kama mpiga debe wa Msamvu ebooo
Jamaa bhana 😂😂anajifanya mpole upande mwingine snitch....Unang'aaata alafu unapuliza
Uko vuguvugu chagua kua moto au baridi ila hauwezi kua kote
Nitarudi baadae...
Sawa[emoji16][emoji1666]sema bro,huko kimeshaumana sababu umekuja mbiombio na ili kubalance story usigundulike fasta ukagusia na kwetu kidogo
Acha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata wenyewe hawajui kama wanauwezo wa kipekee hvo
Ndugu mchungaji[emoji1787]Mkuu umesahau moja.
1. Mwanamke unamtoa shamba, unamnunulia gari zuri, anazaa na katibu wewe mwenyewe ukiwepo unajichekesha chekesha tu.
I love uHaya tafuta huyo wa kawaida.... acha kupiga piga keleleeee kama mpiga debe wa Msamvu ebooo
😛 Umekwisha bebeNatumia zako
SwadaktaNa kwenye dini tunaambiwa motoni wanawake watakua wengi kuliko wanaume.
Nimemchoma Nan tena[emoji1787]Jamaa bhana [emoji23][emoji23]anajifanya mpole upande mwingine snitch....
Mwendo wa panya huo kuuma na KUPULIZA!!
Hazipogo tena mpendwa.Hivi si mlishasema akili tutatumia zenu jamani? Au ndio hizo zenu zimeback fire?
Sema tumekwisha kenge wee😛 Umekwisha bebe
Tumieni zako, au nawe zimepwaya?
Sasa viongozi wa familia hazimo hali itakuwaje jamani🙆🙆🙆🙆Hazipogo tena mpendwa.
Hali ni kama unavyo iona na kuisikia kila siku. Wamebaki kulia lia.Sasa viongozi wa familia hazimo hali itakuwaje jamani🙆🙆🙆🙆
Bear Kama Bear sheeenz kabithaSema tumekwisha kenge wee