baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,655
- 4,242
Mtihani kwa kweli, asichokijua kaonesha level ya upumbavu wake ulivokua mkubwa na bila kujua kamshusha mume wake hadhi mbele ya dunia
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.