Acha kuchekesha wewe Simba ni timu bora Tanzania kwa sasa. Yaani tumkalishe bingwa wa Afrika kwa Mkapa, tushindwe kuwakalisha utopolo na wenzake.Mnaanza kubweka Kama mbwa, iyo si ndiyo ilikuwa michezo yenu, wakati mnafanya mbona mlikuwa kimya kipindi kile kina makonda wanatoa milioni 20? Leo hii kumbe mnaona ni jambo baya,,mmerukwa na akili au mnaweweseka, na nyie si muendelee kutoa Kama mlivyokuwaga mnatoa au bosi amesusa bando limekata!
Sasa Kama ni timu bora unalia lia nini si uonyeshe ubora wako, yaani mmebaki kupata ushindi ni mpaka timu pinzani ipungue kwa kadi nyekundu? Alafu mnajigamba eti timu boraAcha kuchekesha wewe Simba ni timu bora Tanzania kwa sasa. Yaani tumkalishe bingwa wa Afrika kwa Mkapa, tushindwe kuwakalisha utopolo na wenzake.
Mwaka huu mmejipanga kwelikweli majungu, fitina, Rushwa na ushirikina. Pamoja na hayo kombe kulichukua labda mliibe.
Walioweka sheria ya kadi nyekundu sio vilaza kama wewe. Utaonyesha ubora gani wakati mitakataka ya timu pinzani inacheza mieleka na kuumiza wachezaji?Sasa Kama ni timu bora unalia lia nini si uonyeshe ubora wako, yaani mmebaki kupata ushindi ni mpaka timu pinzani ipungue kwa kadi nyekundu? Alafu mnajigamba eti timu bora
Mnataka kutuaminisha hata ubingwa wenu mara nne mfululizo ulikuwa wa hujuma dhidi ya Yanga maana kuna watu pia walikuwa wanatoa mafungu kwa timu zinazocheza na Yanga ili zikaze hadharani,umesahau Makonda na milioni 10 zake kwa KMC.Ni jambo la kusubiri tu,anaejua anajua tu, hata watoe mafungu kuihujumu Simba, Itafika Wakati watakubali kuwa hawajui, na hawatatakana tena kama ilivyotokea kwa wazee wa Vitasa,Twaha Kiduku na Dulla Mbabe. Povu ruksa.
Simba ni level ya Mwakinyo acha umamaNi jambo la kusubiri tu,anaejua anajua tu, hata watoe mafungu kuihujumu Simba, Itafika Wakati watakubali kuwa hawajui, na hawatatakana tena kama ilivyotokea kwa wazee wa Vitasa,Twaha Kiduku na Dulla Mbabe. Povu ruksa.
Tupe rekodi za simba na Yanga pale kwa Mkapa kwa miaka hii ya hivi karibuniAcha kuchekesha wewe Simba ni timu bora Tanzania kwa sasa. Yaani tumkalishe bingwa wa Afrika kwa Mkapa, tushindwe kuwakalisha utopolo na wenzake.
Mwaka huu mmejipanga kwelikweli majungu, fitina, Rushwa na ushirikina. Pamoja na hayo kombe kulichukua labda mliibe.
Basi kwa ubora wenu endeleeni kushinda mechi na sio kulalamika nyie makoloWalioweka sheria ya kadi nyekundu sio vilaza kama wewe. Utaonyesha ubora gani wakati mitakataka ya timu pinzani inacheza mieleka na kuumiza wachezaji?..
Basi hakuna haja ya kulalamika tena kutokana na ubora wenu, acheni timu ndogo zipewe zawadi endapo zikitoa sare na kuifunga timu bora simbaKitu kimoja wanachojidanganya Yanga ni kuwa Simba akiwa vibaya basi wao wapo vizuri.
Sisi mashabiki wa simba tuna standard yetu, tusipofikia hiyo tunajiona tupo vibaya.
Lakini hii tunayoiita sisi vibaya imezidi vizuri yenu ( yanga) zaidi ya mara nane.
Huwezzi ukaniskia nalalamika team....imeahidiwa zawadi.Basi hakuna haja ya kulalamika tena kutokana na ubora wenu, acheni timu ndogo zipewe zawadi endapo zikitoa sare na kuifunga timu bora simba
Ndio uwaambie hao makolo wenzako pamoja na yule cresentius Magori analalamika kupitia vyombo vya habari kwamba kwann timu zinaahidiwa pesa kwa ajili ya kumfunga simba tu?Huwezzi ukaniskia nalalamika team....imeahidiwa zawadi.
Ila wachezaji wakumbushwe fair play.....
Usidhamirie kumuumiza mtu.
Hata tukiwafunga muwape zawadi ili wasiumize wachezaji wetu.Simple as that, Nyie mko bora na timu itakayotoa sare au kuifunga simba itapewa zawadi
Lengo ni kuwatoa mchezoni kwa namna yeyote ile, Nyie si timu kubwa na bora basi timu ndogo watapewa zawadi na motisha kwa kumfunga simbaHata tukiwafunga muwape zawadi ili wasiumize wachezaji wetu.
KMC waliwapiga viwiko na kuwaumiza wachezaji wa Yanga?Lengo ni kuwatoa mchezoni kwa namna yeyote ile, Nyie si timu kubwa na bora basi timu ndogo watapewa zawadi na motisha kwa kumfunga simba
Kipindi hiki cha kina Ally hapi ndo mmejitokeza ila kipindi cha Makonda anatoa ahadi zile ilikuwa sawa tu