blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,092
- 7,468
Ulivyo mwambia mke wako kalipokeaje?Huo ndo ukweli na hata mke wangu nimemuambia pia ili nipunguze mzigo mOyonI mwangu.
Nikizidi kukaa nalo ntaliona kubwa kumbe ni kawaida tu kutamani
Ulivyo mwambia mke wako kalipokeaje?Huo ndo ukweli na hata mke wangu nimemuambia pia ili nipunguze mzigo mOyonI mwangu.
Nikizidi kukaa nalo ntaliona kubwa kumbe ni kawaida tu kutamani
Mm nlivumilia ila nlivoona chupi imeelemewa na mzigo nikasema hapana ngoja niisaidie pichu kupga jeki,,
Ila nliambuliwa kilio tu
Hizi thread nyingine...
Nasubiria mrejeshoUlivyo mwambia mke wako kalipokeaje?
Utamharibu mkeo,Naomba msamaha kwa hili wakuu lakini hili jambo linanitokeaga sana hasa nikiwa na bi wife ndani tumetulia.kuna baadhi ya nyakati Nafsi inakuwa inatamani mnoo kula tigor ya mKe wangu lakini sikuwahi kujaribu huo mchezo na sipendi kujiona nimeingia kwenye huo mchezo mchaf.
Nafsi kuna wakati inashawishi kufanya lakini nkifkria madhara yake yatakayompata mke wangu na mm mwenyewe nazidi kuwa na imani juu ya kuukimbia huu mchezo mbaya ambao nafsi inashawishi kuufanya.
Kuna baadhi ya staili ambszo zinatia ushawishi japo kuchezea tgo na kidole tu kama mbuzi kagoma kuenda n.k hizi staili shetani wa nafsi anaztumia kututamanisha lakini tunzaidi kupambana kuepuka kuuanza huu mchezo.
Bora tupambane Na tutumie nguvu nyingi kuiepuka tabia kuliko kuPambana na Kutumia nguvu nyingi ili kuacha tabia.nafurahi sana mke wangu yuko salama nampenda sitaki kumharibu na kujiharibu mwenyewe.
Wanaume wenzangu nawaambia kwamba nafsi kawaida yake kutamani vizur na vbaya,hivyo tusiifate nafsi kila itakacho bali mengine tupotezee.
Ukipitia waliofanya michezo hii wanakuwa na stress baadae kuangalia namna ya kuacha kwa sababu nafsi zinawasuta tayari na kuhangaika wanajiona wapo kwenye hatia kabisa.mimi na wewe ambao hatujawahi kufanya hii michezo tumshukuru Mungu tupotezee tusijaribu.
Nafsi itamani lakini ninaimani kwamba ni hali ya kawaida kutokana na vile dunia ilivyo lakini sitorudi nyuma,nitashUKkilia msimamo wangu ule ule wa kutokujaribu huu uchafu namshukuru Mungu kwwa hili.
Usikate tamaa mwanaume mwenzangu tuzidi kupambana kukimbia matamanio ya hizi nafsi zetu kwa kila kipendacho.
Aliniambia jitahidi kujizuwia huo mchezo sio mzuri au kama vipi asiwe anakaa dogi staili kuepusha huo mfarakano.mm nikamgomea nikamuambia kaa dogi ili nipambane vizuri na nizowee nione kawaida.Ulivyo mwambia mke wako kalipokeaje?
Jf hapa... Juzi tu umekuja lalamika show mbovu... Mara jogoo hapandi mtungi... Watu hawajamaliza kutatua tatizo... Unaleta tatizo lingine.
Kwa haraka haraka tu nilivyokuchek nimegundua kuna tatizo sehemu flan kwenye oblangata..
Tafuta tiba ya ubongo chap mkuu... Utavua nguo soon
Huyo anatakani, usipojiongeza atawapa wenzio. Bora ufumbe macho umridhisheAliniambia jitahidi kujizuwia huo mchezo sio mzuri au kama vipi asiwe anakaa dogi staili kuepusha huo mfarakano.mm nikamgomea nikamuambia kaa dogi ili nipambane vizuri na nizowee nione kawaida.
Pia akaniambia anaziskia kesi za wanawake tofauti wanaofanya huo mchezo mbaya wengine wakizowea ni mtihani kujifungua na wengine wanakuwa wanatoka maji mda mwingi kule nyuma na wengine zile manii zinakuwa zinarudi nje hivyo kunalowana lowana haya yote ni madhara yake unapenda yatutokee mume wangu?nikamuambia hapana mke wangu.akaniambia jitahidi kuzuwia.
Hahaaaaaa.Mwambie wife akujaribu wewe kwa ndizi then ukiona kama iko powa ndo yafanyie kazi mawazo yako
Huyu ashakula tu. Anajisifu hapaHata jinsi àlivyopresent unaona kbs LNB cable iko loose...ova ameulizwa...unataman kumuuliza sasa usaidiwaje...then...bora angekuwa ndo michezo yake angepata ushauri...mtu anadai hajafanya ila anatoa report km yuko.polisi.vile...kwanza mkewe aana kazi...kuishi na watu wenye ubongo wa ndege john kaazi kweli kwli
Pumbavuusipokula,wenzio watakula.au huenda wanakula.......kumbe nipo ndotoni
Hayo mavedeo yanawasaidia nini hasa, kwanini msiyakatae lknHapana mkuw namshukuru Mungu hii hali inazidi kupotea sana siku hizi.zamani ilishamiri kwa sababu ya video za ngono lakin cku hizi nimepambana nayo inapotea na nakaa mara nying siwaz haswa huo ujinga