Kuna wadau wa fresh coffee humu?

Kuna wadau wa fresh coffee humu?

ubuntuX

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
1,997
Reaction score
2,242
Habari wakuu?
Je kuna wadau wapenzi wa kahawa nzuri na fresh humu?upo tayari kulipia bei gani kwa premium fresh coffee ambayo imeroastiwa si zaidi ya 48 hours.? Tembelea website yangu kuona machaguo yako na maoni yako. Website ni mpya na nakaribisha maoni mbali mbali. www.Brewa.co.tz or call 0753038470
7528c6ea-4038-4014-b338-24528f689946.jpeg
f7eb2b8b-2eb2-494b-841a-7734637501bb.png
 
wadau tupo. hapa kama kitu kipo roasted ikiwa inachemka mtaa wa pili wanajua
Broo. Kahawa yangu ni fresh na watu wanaipenda kinoma. Kwanza nikikuletea lazima uiskie.
 
😂 Mkuu, yaani kahawa ni kinywaji kizuri sana naweza kuilipia bei yoyote inategemea na uborq wake
10,000 for 200grams. Kahawa yangu ni premium beans na kama una machine utaifurahia. Nilikua nikiuzia baadhi ya ofisi ambazo wana machine za kahawa ila sasa hivi nimeamua kujiongeza na kutanua soko.
 
10,000 for 200grams. Kahawa yangu ni premium beans na kama una machine utaifurahia. Nilikua nikiuzia baadhi ya ofisi ambazo wana machine za kahawa ila sasa hivi nimeamua kujiongeza na kutanua soko.
Hongera sana
 
Kuna siku nilikunywa kikombe cha kahawa Moshi mjini aisee ilikuwa super sana sitaisahau kwakweli
Tanzania tuna kahawa nzuri sana ila wakenya wanatupiga kwenye soko la nje

Kweli kuna kahawa nzuri sana nyumbani
 
Back
Top Bottom