Van Pauser
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 417
- 418
Mimi mwenyewe nipo hapa nasema kuwa kula tango na asali hakuna madhara yeyeto.... Anayebisha anunue beseni la matango na asali litre 5 niwaoneshe kuwa asali na tango sio sumu.Huyo alikuwa na maagano yake na ziraili. hili nalipinga kwa 100%. Nimeshabishana sana na nimeshagonga mbele ya wabishi kama wewe...