Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,043
1: Unamtumia pesa tena bila hata ya yeye kukuomba hajibu kama amepokea wala hakuna cha asante anakausha tu hadi wewe uanze kumpigia simu!
2: Unatuma sms WhatsApp haifungui ama anaweza akaifungua na kuisoma kwa muda unataka na kukujibu muda anamtaka!
3: Unamtumia vocha lakini hawezi kukupigia zaidi ya kubeep!
4: Unaweza kumnunulia zawadi kisha akaanza kuiponda
Kuna tabia ndogo ndogo zinakera sana na hazivumiliki
2: Unatuma sms WhatsApp haifungui ama anaweza akaifungua na kuisoma kwa muda unataka na kukujibu muda anamtaka!
3: Unamtumia vocha lakini hawezi kukupigia zaidi ya kubeep!
4: Unaweza kumnunulia zawadi kisha akaanza kuiponda
Kuna tabia ndogo ndogo zinakera sana na hazivumiliki