Kuna vijana wengi wa kiume in their late 20's wenye mwonekano smart, kazi nzuri, kipato, gari, lakini hawajaoa

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,709
5,699
Hi,

Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.

Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.

All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..

Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.

Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
 
Kuoa wanatoka ila hawajui wamuoe nani?

Ndoa ni maandalizi ya muda mrefu.

Ni rahisi sana kupata mwanamke sahihi kama mwanaume ukiwa mdogo.

Shida wanaume tunavyokuwa wadogo tunakuwa hatuna hela za kuendesha mahusiano na hata ndoa. Hivyo ngumu kumuandaa wife
 
Wewe ni kataa ndoa mkuu? Kama mtu hana mpango wa kuoa, ashiki atamalizia wapi? ndo kusex na wanawake tofauti na kuwaacha, mwishowe watoto wa nje ya ndoa, mara ukimwi Amehlo
waliooa hawasex na wanawake tofauti?
unaweza usioe au usiolewe na ukawa umetulia na mpenzi mmoja maisha yanaenda

ukumbuke sex sio ndoa..
alafu mimi sio kataa ndoa 😀
 
Hi,

Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.

Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.

All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..

Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.

Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali



Na mimi Kaka yao nasema wana akili, cha maana wake mbali na zinaa.
 
Hi,

Humu jf na nairaland vijana wengi tunasema hatujaoa coz hatuna hela, tunajitafta tupate hela ndo tuoe.

Cha kushangaza kuna hii kitu nimeona haswa haswa sehemu ninayofanyia kazi, kijana wa kiume unakuta ana cheo, tena head wa department ya kampuni kubwa, kazi nzuri, wese la kuweka mafuta ya 150k kwa wiki, kwenye Subaru Forester yake, ila mke hana, hata wakija wadada wa field tokaa chuo kwenye kampuni, wanaume single bachelors hawajisumbui kuwatongoza, hawatongozi hata female coworkers, utakuta tena kijana anakwambia ana rafiki yake anafanya kazi tra, kipindi cha chuo huyo rafiki alitamani kuoa, baada ya kupata hela, mtu anaghairi kuoa, coz anadai hana mpango huo wa kuja kuoa.

All those guys naowasema ni seemingly decent and good guys, sijajua wana mapungufu gani, hela wanazo, wako smart, hawana sura mbaya wako in their late 20's ila mbona hawataki kuoa na hawana wake, hata kutongoza hawajisumbui..

Ni aina ya wanaume ambao wanawake wanaenda kuombewa kwa mwamposa ili wawapate.

Sijajua future ya ndoa itakuaje kwakweli, siamini kama hao wanaume hawataki mke, hakuna mwanaume mwenye hela asietaka a good wife by his side. DeepPond Zemanda mshamba_hachekwi dronedrake Extrovert mawazo yenu kwenye hili tafadhali
Vijana wanagonga malaya vibaya mno. Akitoka kazi anaingia Telegram anaita Mwajuma kitako anamtumia Bolt/uber anakuja geto anasuuza anamlipa anaondoka. Huduma za mke anazipata Telegram. Akifikisha 38-40's ndio ataanza kuona umuhimu wa mke na familia
 
Kuna vitu viwili ambazo sitotaka kumshauri mtu, kwanza kumshauri mtu aachane na mpenzi wake kwani mwisho wa siku utonekana adui pili kumshauri mtu aoe, kila siku ukikutana nae "unaoa lini......" kwani kwa hawa wanawake wa siku hhizi mwisho wa siku utachukiwa na kuonekana mbaya.
 
Back
Top Bottom