Kuna uwezekano watanzania hatujui maana ya ubunifu

Mkuu naona unaongelea creativity lkn kwa kusoma bandiko lako naona hata haujui creativity ni nini.

Creativity ni pale mtu anapotumia resources zilizopo(au zilizotengenezwa) na kuzifanyia some intelligent tweaks ili zifanye kazi nyingine. Resouces zinaweza kuwa kama hizo modular hardware mnazoongelea like arduinos / raspberry pi's etc....

Mfano dogo leo akitengeneza gari kwa arduino from scratch bila kufanya copying amd pasting hio inakua ni creativity yake hata kama kuna watu wameshatengeneza vitu kama hivo before au anasoma tutorial thn anaongeza na utundu wake hio nayo inakua ni creativity.

Mbona nakamoto ametumia blockchain ambayo idea yake ilikuwepo tangu 70's lkn dunia inaatambua bitcoin kama creativity yake/yao nakamoto. Ni kwa sababu tu ametumia available resources.

Sema naona pia unashindwa kutofautisha kati ya marketable creativity na normal creativity ndo maana unakalia kuponda helicopter za mabati na magari ya mbao
Tofautisha kuwepo Kwa idea na kucopy kitu, blockchain ilikuwa ni idea tu means kulikuwa hamna product. Kuna vitu vitatu wewe na watanzania wengi hamvielewi

Kuna technology adoption ambayo uancopy idea iliyofanyika sehemu nyingine sema wewe unaitwist/unaifanyia mabadiliko kidogo na ndo hiki kinachofanyika Tanzania na Africa.

Alafu kuna creativity na innovations unachukua idea na kuja na product, na unahakikisha hy idea haijatengenezewa product bado.

Alafu kuna discovery unagundua kitu ambacho ni unknown kama NASA kugundua sayari mpya.
 
Tatizo linaanzia kuanzia level ya Elimu.. Ipo chini kiasi kwamba wananchi tuna glorify vitu vidogo because we lack exposure. I blame kiswahili for this. Nchi hii tuna ngangania kiswahili wakati inaturudisha nyuma tu. Wananchi (including news interviewers) wanashindwa kuwa up to date na current affairs concerning tech matokeo yake tunaona vitu vidogo kwamba ni vikubwa.

Nevertheless mi sioni kama kuna tatizo kuhojiwa na kupewa spotlight. Acha wahojiwe. It's good motivation. Leo ametengeneza icho cha low level, kesho na kesho kutwa ata upgrade. The worst thing is uwe soo innovative alafu hakuna mtu anakuhoji. No motivation mwisho wa siku mtu anakua demotivated.

I personally don't see anything wrong with that. The tech scene is very competitive in itself, the least we can do is support the little we have.
Nimetoka kuangalia EATV kipindi cha ubunifu lakin nimeshtushwa watu wanatengeneza Internet of things applications wanaita ubunifu serious.

Internet of things (IoT) applications kama smart home, smart farming, smart factory, smart city n.k sio ubunifu wa kupita kifua mbele. Lazima vijana tuwe update na current technology ili tujue upi ni ubunifu na upi sio.

Ubunifu lazima utatue tatizo Fulani ambalo jamii imeshindwa, na uendane na wakati, mfano huwez tengeneza helikopta ya mabati au baiskeli ya miti ukasema ni ubunifu

Kwa sababu unaweza sema umebuni kitu leo, kumbe yuko mtu ameshatengeneza kitu kama hicho miaka 20 au 30 iliyopita.

Na kinachofanyika Tanzania kwa asilimia kubwa ni technology adoption (upgraded) na sio ubunifu
 
INNOVATION
innovation noun
in·no·va·tion | \ ˌi-nə-ˈvā-shən
\
Definition of innovation

1 : the introduction of something new
2 : a new idea, method, or device : novelty

Source: https://www.merriam-webster.com/dictionary/innovation

The process of translating an idea or invention into a good or service that creates value or for which customers will pay. To be called an innovation, an idea must be replicable at an economical cost and must satisfy a specific need. Innovation involves deliberate application of information, imagination and initiative in deriving greater or different values from resources, and includes all processes by which new ideas are generated and converted into useful products. In business, innovation often results when ideas are applied by the company in order to further satisfy the needs and expectations of the customers.

Source: http://www.businessdictionary.com/definition/innovation.html

A 2014 survey of literature on innovation found over 40 definitions. In an industrial survey of how the software industry defined innovation, the following definition given by Crossan and Apaydin was considered to be the most complete, which builds on the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) manual's definition:[13]

Innovation is production or adoption, assimilation, and exploitation of a value-added novelty in economic and social spheres; renewal and enlargement of products, services, and markets; development of new methods of production; and the establishment of new management systems. It is both a process and an outcome.

According to Kanter, innovation includes original invention and creative use and defines innovation as a generation, admission and realization of new ideas, products, services and processes.[14]

Two main dimensions of innovation were degree of novelty (patent) (i.e. whether an innovation is new to the firm, new to the market, new to the industry, or new to the world) and kind of innovation (i.e. whether it is processor product-service system innovation).[13] In recent organizational scholarship, researchers of workplaces have also distinguished innovation to be separate from creativity, by providing an updated definition of these two related but distinct constructs:

Workplace creativity concerns the cognitive and behavioral processes applied when attempting to generate novel ideas. Workplace innovation concerns the processes applied when attempting to implement new ideas. Specifically, innovation involves some combination of problem/opportunity identification, the introduction, adoption or modification of new ideas germane to organizational needs, the promotion of these ideas, and the practical implementation of these ideas.[15]
Source: https://en.wikipedia.org/wiki/Innovation#Definition

CREATIVITY
Creativity is the act of turning new and imaginative ideas into reality. Creativity is characterised by the ability to perceive the world in new ways, to find hidden patterns, to make connections between seemingly unrelated phenomena, and to generate solutions. Creativity involves two processes: thinking, then producing.

Source: https://www.creativityatwork.com/2014/02/17/what-is-creativity/

In a summary of scientific research into creativity, Michael Mumford suggested: "Over the course of the last decade, however, we seem to have reached a general agreement that creativity involves the production of novel, useful products" (Mumford, 2003, p. 110),[3] or, in Robert Sternberg's words, the production of "something original and worthwhile".[4]

Source: https://en.wikipedia.org/wiki/Creativity#Definition

Mental characteristic that allows a person to think outside of the box, which results in innovative or different approaches to a particular task. "Amy's creativity is the main factor that landed her the job at the design firm."

Source: http://www.businessdictionary.com/definition/creativity.html
 
There is Nothing new under the sun

Kuna technology adoption ambayo uancopy idea iliyofanyika sehemu nyingine sema wewe unaitwist/unaifanyia mabadiliko kidogo na ndo hiki kinachofanyika Tanzania na Africa.
Sio lazima kiwe kipya kabisa. Unaweza kunakili ukaweka ubunifu wako na ikawa ni "Innovation"
1. Kabla ya ndege kulikuwa na nyuni
2. Kabla ya Kompyuta kulikuwa na ubongo
3. Kabla ya "Software" kulikuwa na "Mind"
4. Kabla ya Facebook kulikuwa na Myspace
5. Kabla ya WhatsApp kulikuwa na Yahoo Messenger, MSN Messenger et al
6. Kabla ya WhatsApp kulikuwa na SMS/MMS
Hakuna Jipya kabisa. Hata kabla ya Simu kulikuwa na "radio call". Kama unatarajia kije kipya kisichokuwepo unakosea.
Ukinakili Uber ukafanya bora zaidi yao ni "Innovation" on top of Original Uber.
 
There is Nothing new under the sun


Sio lazima kiwe kipya kabisa. Unaweza kunakili ukaweka ubunifu wako na ikawa ni "Innovation"
1. Kabla ya ndege kulikuwa na nyuni
2. Kabla ya Kompyuta kulikuwa na ubongo
3. Kabla ya "Software" kulikuwa na "Mind"
4. Kabla ya Facebook kulikuwa na Myspace
5. Kabla ya WhatsApp kulikuwa na Yahoo Messenger, MSN Messenger et al
6. Kabla ya WhatsApp kulikuwa na SMS/MMS
Hakuna Jipya kabisa. Hata kabla ya Simu kulikuwa na "radio call". Kama unatarajia kije kipya kisichokuwepo unakosea.
Ukinakili Uber ukafanya bora zaidi yao ni "Innovation" on top of Original Uber.
Na hawa wanatengeneza helikopta za mabati wako kundi gani sababu ndo nao waongelea
 
There is Nothing new under the sun


Sio lazima kiwe kipya kabisa. Unaweza kunakili ukaweka ubunifu wako na ikawa ni "Innovation"
1. Kabla ya ndege kulikuwa na nyuni
2. Kabla ya Kompyuta kulikuwa na ubongo
3. Kabla ya "Software" kulikuwa na "Mind"
4. Kabla ya Facebook kulikuwa na Myspace
5. Kabla ya WhatsApp kulikuwa na Yahoo Messenger, MSN Messenger et al
6. Kabla ya WhatsApp kulikuwa na SMS/MMS
Hakuna Jipya kabisa. Hata kabla ya Simu kulikuwa na "radio call". Kama unatarajia kije kipya kisichokuwepo unakosea.
Ukinakili Uber ukafanya bora zaidi yao ni "Innovation" on top of Original Uber.
Tofautisha kuwepo Kwa idea na kucopy kitu, blockchain ilikuwa ni idea tu means kulikuwa hamna product. Kuna vitu vitatu wewe na watanzania wengi hamvielewi

Kuna technology adoption ambayo uancopy idea iliyofanyika sehemu nyingine sema wewe unaitwist/unaifanyia mabadiliko kidogo na ndo hiki kinachofanyika Tanzania na Africa.

Alafu kuna creativity na innovations unachukua idea na kuja na product, na unahakikisha hy idea haijatengenezewa product bado.

Alafu kuna discovery unagundua kitu ambacho ni unknown kama NASA kugundua sayari mpya.

I told him but he didnt understand thats why I signed out of this
 
Nimetoka kuangalia EATV kipindi cha ubunifu lakin nimeshtushwa watu wanatengeneza Internet of things applications wanaita ubunifu serious.

Internet of things (IoT) applications kama smart home, smart farming, smart factory, smart city n.k sio ubunifu wa kupita kifua mbele. Lazima vijana tuwe update na current technology ili tujue upi ni ubunifu na upi sio.

Ubunifu lazima utatue tatizo Fulani ambalo jamii imeshindwa, na uendane na wakati, mfano huwez tengeneza helikopta ya mabati au baiskeli ya miti ukasema ni ubunifu

Kwa sababu unaweza sema umebuni kitu leo, kumbe yuko mtu ameshatengeneza kitu kama hicho miaka 20 au 30 iliyopita.
Kwa dunia ya technology ipofikia hakuna ubunifu tena bali kuna maboresho ya ubunifu.
Na kinachofanyika Tanzania kwa asilimia kubwa ni technology adoption (upgraded) na sio ubunifu

Sio tanzania tu bali ni duniani kote.
 
Kwa dunia ya technology ipofikia hakuna ubunifu tena bali kuna maboresho ya ubunifu.


Sio tanzania tu bali ni duniani kote.
Sio kweli mfano hakuna suluhisho LA high radioactive waste, magonjwa yote ya neurodegenerative disease hayana diagnostics wala therapeutics means katika hizi sehemu mbili tuna hitaji iinovation na creativity

Achana na hizo siasa ubunifu unahitajika sana sio kweli hakuna ubunifu
 
I told him but he didnt understand thats why I signed out of this
Mfano So far hamna suluhusho wala idea ya kutreat (therapeutics au kugundua (diagnostics) neurodegenerative disease usipende kubisha vitu usivyo vijua Kwa mapana yake
 
Sio kweli mfano hakuna suluhisho LA high radioactive waste, magonjwa yote ya neurodegenerative disease hayana diagnostics wala therapeutics means katika hizi sehemu mbili tuna hitaji iinovation na creativity

Achana na hizo siasa ubunifu unahitajika sana sio kweli hakuna ubunifu

Ninaposema kwamba hakuna ubunifu bali ni kuna maboresho/muendelezo wa ubunifu ambao tayari upo namaanisha hakuna kitu ambacho kitavumbuliwa pasipo kutumia walau idea ambayo tayari ipo!

Hata diagnosis za hayo magonjwa siku zikipatikana lazima wagunduzi wake watumie microscopes na baadhi ya concepts za nanotechnology! sasa hapo itakuwa si sahihi kusema wagunduzi wake wametumia idea mpya kwanzia kwenye experiment mpaka final results.

Mzee baba bila shaka utakuwa umenielewa na wala mimi siko hapa kuleta porojo za kisiasa.
 
Hiyo Profile Pic imenikumbusha enzi za akina Bixente Lizarazu, Lilian Thuram, Lauren le Blanc, Fabien Bartez et al :)

Marcell Desaily,djokef,Emmanuel petit,Silvio Wiltod,David trezguet,henry,Anelka,Makelele,Zidane,Viera,Deschamps etc!

So far that was the best football generation in france history! they won everything in football.

B.Lizarazu ni beki bora kabisa wa kushoto niliowahi kumuona, mapenzi yangu kwake ndio yalinifanya wadau wakanipa jina lake kama nickname.
 
Marcell Desaily,djokef,Emmanuel petit,Silvio Wiltod,David trezguet,henry,Anelka,Makelele,Zidane,Viera,Deschamps etc!

So far that was the best football generation in france history! they won everything in football.

B.Lizarazu ni beki bora kabisa wa kushoto niliowahi kumuona, mapenzi yangu kwake ndio yalinifanya wadau wakanipa jina lake kama nickname.
And... When soccer was fun!
 
Ninaposema kwamba hakuna ubunifu bali ni kuna maboresho/muendelezo wa ubunifu ambao tayari upo namaanisha hakuna kitu ambacho kitavumbuliwa pasipo kutumia walau idea ambayo tayari ipo!

Hata diagnosis za hayo magonjwa siku zikipatikana lazima wagunduzi wake watumie microscopes na baadhi ya concepts za nanotechnology! sasa hapo itakuwa si sahihi kusema wagunduzi wake wametumia idea mpya kwanzia kwenye experiment mpaka final results.

Mzee baba bila shaka utakuwa umenielewa na wala mimi siko hapa kuleta porojo za kisiasa.
Hypothesis zote za zaman zimefail so far ukipata mda soma neurodegenerative disease kwa mapana
 
Mimi nilivyomuelewa anaongelea Innovation na sio creativity. Ngoja aje kudadavua zaidi
kipi sasa tunazungumzia hapa?ubunifu creativity uvumbuzi invention au inovation ubunifu ubora ?au hii misamiati inatukoroga ndonya hatujui kipi ni kipi.
mleta hoja hebu tufafanulie tupate kuchangia sawa
 
Back
Top Bottom