Kuna uwezekano wa ku hack Whatsapp?

Kuna uwezekano wa ku hack Whatsapp?

Njia zipo,ila kwa nini ufanye hivo?
Hujiamini unahisi wanakulia tunda?
 
ndio unaweza kuhack kwa kutumia whatsap web... but ni kwa siku mbili pekee then unakuwa huwezi pata sms tena...
 
Ingia google play andika whatsapp mobile web itakuja install katika simu yako then uchukue simu ya mtu unayetaka taarifa zake ingia katika whatsapp yake chukua code scan info zote utakuwa nazo
Hii code scan inakuwa wap mkuu
 
Back
Top Bottom