Kuna uwezekano wa ku hack Whatsapp?

Kuna uwezekano wa ku hack Whatsapp?

Utaumia bure Mkuu

Ridhika pia jikubali tu hivyo ulivyo
.
 
Laki 5.. hehe bora nikuachie software kwako tu
 
Utaumia bure. Kama anakupenda ni wako tu. Hata uki hack account hautamchunga kama kondoo.
 
Weka Lengo lako inawezekana kuna software nyingine itakayofanya kazi unayotaka,maana kudukua whatsup kusoma sms zake tu au kingine?
 
Hiyo ni ngumu sana kupata.
Unaweza pata whatsup msg kama anatumia WIFI na ukaweza kusnif maongezi yake ukiwa na wewe kwenye wifi hiyo hiyo ila nayo si rahisi kwani update zinatoka kila mara.
 
Ingia google play andika whatsapp mobile web itakuja install katika simu yako then uchukue simu ya mtu unayetaka taarifa zake ingia katika whatsapp yake chukua code scan info zote utakuwa nazo
 
Huu ni upumbavu unahack mawasiliano ya mtu unufaike na nini hasa ??
Wabongo tunafeli kila jambo
 
Habari?
Nani anayo software ku hack whatsapp ya mtu?
ki2 chepesi kisichoitaji process ndefu ni kuchukua pc na sim ya hyo mtu wako ingia whatsapp ya kwenye cm nenda kwenye options then select whatsapp web ingia kwenye www.whatsapp.com kwa ku2mia pc thn scan ile barcode then chats zote zitakuwa kwenye pc kila msg itakuwa itakuwa inakuja kwenye pc yako anavyochat
 
ki2 chepesi kisichoitaji process ndefu ni kuchukua pc na sim ya hyo mtu wako ingia whatsapp ya kwenye cm nenda kwenye options then select whatsapp web ingia kwenye www.whatsapp.com kwa ku2mia pc thn scan ile barcode then chats zote zitakuwa kwenye pc kila msg itakuwa itakuwa inakuja kwenye pc yako anavyochat
9e7dc0527b11dd599c67b3bf9845d669.jpg
 
Back
Top Bottom