ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,601
Acha uongo,Ingekuwa hivyo miradi ingesimama na kama imesimama ni kupisha mvua.Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa niliko hakuna mradi umesimama.