upo mkoa gani mkuuHuwa kuna utaratibu gani mtu akitaka Ku resit mitihani ya form 6 aliyemaliza mwaka huu mwezi wa 5 na hakufanikiwa kwenda bachelor ataenda Ku resit shule au kwenye vituo na anahitaji Ku resit Masomo yote CBG utaratibu upoje
M nakushauri kijana mwenzangu ni bora ukachukue vyeti vyako vya f4 ukaenda diploma tuu.Sikuombei mabaya ila ni Ushauri tuu.Huwa kuna utaratibu gani mtu akitaka Ku resit mitihani ya form 6 aliyemaliza mwaka huu mwezi wa 5 na hakufanikiwa kwenda bachelor ataenda Ku resit shule au kwenye vituo na anahitaji Ku resit Masomo yote CBG utaratibu upoje