leprincess
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 282
- 450
Uko Bunda ipi?Hii nchi acha tu. Huko bunda watu hawajalipwa hela zaoView attachment 2328843View attachment 2328844
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Uko Bunda ipi?Hii nchi acha tu. Huko bunda watu hawajalipwa hela zaoView attachment 2328843View attachment 2328844
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Kibaya sasa, wanaopiga hizo pesa ni wageniMabilioni ya Sensa yameliwa, kuanzia pesa za malipo,mikataba ya kununua tablets ulikua wizi mtupu.
Wanasema tablets kila moja imenunuliwa kwa laki 9 tablets hizo hizo na aina hiyo na kampuni hiyo kule aliexpress zinauzwa kati ya 190k hadi 230k huku kwenye mikataba zinaonekana ni shilingi laki tisa
Sasa zidisha kwa makarani laki 3 ndo unajua hii nchi inapigwa
Tukija kwenye semina, hela za chakula walisema ni elfu 10 kwa siku ila haikua hivyo watu walipewa chai na andazi moja asubuhi na mchana kijiwali cha maharage hapo elfu 10 imeisha
Wakufunzi walilipwa laki kwa siku, makarani walipaswa waende mafunzo kwa siku 19 lakini mafunzo yameishia siku 14 tu kwa sehemu nyingi halafu hela za hizo siku 5 walizoambiwa wasiende ziko wapi??Zimepigwa...Sasa piga karani kwa siku anatakiwa apewe Tsh 40000 na elfu 10 ya chakula jumla elfu 50 zidisha kwa makarani laki 3 kwa siku 5 ambazo hawakwenda na zimeshatolewa kwamba walipaswa walipwe lakini hizo siku zimepunguzwa kijanja ili wapige ndo utajua hii nchi pesa zinapigwa.
Hela za makarani mfano, katika kituo cha N.I.T makarani juzi walipewa shilingi laki 4 na kulikua na makarani zaidi ya 1450 lakini hao makarani walipewa pesa kwa mkono na kulazimisha wakahesabie nje eti kupisha wengine wapewe ili kuokoa muda ambapo kati ya hao makarani zaidi ya 200 walikuta wamepewa laki tatu na 90 tu yaani 390k badala ya 400k yaani laki nne sasa piga hesabu hapo watu zaidi ya 200 wamepunjwa elfu 10 zidisha mara watu 200 ndo mtajua hii nchi inapigwa..
Pia Sehemu nyingi Tanzania kulikua na majina hewa ya wanasiasa,madiwani na makada wa ccm na watumishi wa umma ambao inaonekana walilipwa kama makarani lakini ukweli hawakuwepo kwenye mafunzo.
Mfano kuna madiwani kadhaa wa ccm,makada wa ccm na watumishi wa umma ambapo kwenye sensa inaonekana waliomba, kwenye interviews majina yalitoka kwamba waende, lakini hawakuonekana, na cha ajabu waliopata usaili nao wamo na kwenye mafunzo hawakuwepo lakini majina ya walolipwa nao wamelipwa, huu mchezo ngazi ya kiwilaya maplayer wakubwa ni MADC, WAKURUGENZI na WASIMAMIZI WA SENSA KIWILAYA NA WALE WA VITUO VYA KATA VYA SENSA....
Unaambiwa Tanzania kuna maelfu ya makarani hewa wamelipwa hela za Sensa, inasikitisha huu mchezo umechezwa na Watu wa NBs, vigogo wa chama, Madc ndo usiseme, madiwani, watu wa halmashauri na wasimamizi wakuu wa vituo vya sensa...
Kibaya zaidi hizi hela zinatoka hazina moja kwa moja ambapo watu wanapiga pesa haswaa,uhuni mwingine hadi sasa kuna sehemu makarani hawajalipwa, wahuni wamechukua hela wakaenda kuziingiza kwenye mzunguko wa biashara zao then wakishavuna faida ndo makarani wanalipwa kwa kuchelewa huu mchezo unachezwa sana.
Kiujumla zoezi la Sensa limejaa wizi, wizi, ufisadi na kila aina ya upigaji, wakileta ukaguzi wa nje mtagundua sio chini ya bilioni 200 au bilioni 400 zimefyekwa na kuliwa na wachache...
Hii nchi inapigwa sana....Nadhani hata wakaguzi wa ndani hawataweza hili jambo ni mzigo mkubwa mno huu natamani tupate wakaguzi wa nje muone madudu yatakayoanikwa, kuna washenzi hadi natamani niwataje kwa majina wamehusika moja kwa moja kwenye kufuja hizi pesa, Nimeamini nchi yetu kuna ufisadi wa kutisha!!!Sasa niwatonye tu waulizeni mauditors madudu wanayoyakutaga huko halmashauri!!!Mnacholetewa na Ma-Cag hicho ni 40% tu ya kiasi halisi chenyewe, auditors wengi hupoozwa sana na halmashauri nyingi, hakuna watu wanaongoza kwa kupoozwa kama mauditors kwani hukuta madudu kwenye halmashauri nyingi sana na ya kutisha lakini mengi yanafichwa kwa kupoozwa, hivi mnafahamu kuwa C.A.G dr Assad ile report yake alikuta kuna zaidi trilioni 4 hazijulikani zilikwenda wapi?Lakini baada ya kumkuta la kumkuta alituambia ni 1.5 trilioni ila ajitahidi sana.
Kwa hili linahitaji wakaguzi wa nje tu waje kukagua hili la sensa ni too much, sijui kama Tanzania itakaa iendelee kwa huu wizi uliokithiri hivi...Hii nchi ina uozo mwingi sana naandika hadi natetemeka kwa hasira...
Unaweza kuonyesha hizo pesa alizificha wapi baada ya kufa untimely?Na Tozo nazo zitapigwa tu, Magufuli pia alikuwa anatupiga.
Mungu yupi huyo? Ukidhulumiwa unamshukuru Mungu kuwa yeye ndo kakudhulumu au kuwa ndo amewaongoza waliokudhulumu?Kwa kuwa mmeshachukua mzigo basi mshukuruni Mungu
Nchi nyingine hata hiyo laki 5 mngekosa
Laki 5 uliyopewa haikutoshi?Mungu yupi huyo? Ukidhulumiwa unamshukuru Mungu kuwa yeye ndo kakudhulumu au kuwa ndo amewaongoza waliokudhulumu?
Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba 75% ya Wadada / Wanawake waliopata hii Ajira wametumika sana Kiudhinifu na Kujikusanyia zaidi Vijidudu Hatari vya Mwaka 1981 na vilivyoshindikana mpaka leo na WHO.Mabilioni ya Sensa yameliwa, kuanzia pesa za malipo,mikataba ya kununua tablets ulikua wizi mtupu.
Wanasema tablets kila moja imenunuliwa kwa laki 9 tablets hizo hizo na aina hiyo na kampuni hiyo kule aliexpress zinauzwa kati ya 190k hadi 230k huku kwenye mikataba zinaonekana ni shilingi laki tisa
Sasa zidisha kwa makarani laki 3 ndo unajua hii nchi inapigwa
Tukija kwenye semina, hela za chakula walisema ni elfu 10 kwa siku ila haikua hivyo watu walipewa chai na andazi moja asubuhi na mchana kijiwali cha maharage hapo elfu 10 imeisha
Wakufunzi walilipwa laki kwa siku, makarani walipaswa waende mafunzo kwa siku 19 lakini mafunzo yameishia siku 14 tu kwa sehemu nyingi halafu hela za hizo siku 5 walizoambiwa wasiende ziko wapi??Zimepigwa...Sasa piga karani kwa siku anatakiwa apewe Tsh 40000 na elfu 10 ya chakula jumla elfu 50 zidisha kwa makarani laki 3 kwa siku 5 ambazo hawakwenda na zimeshatolewa kwamba walipaswa walipwe lakini hizo siku zimepunguzwa kijanja ili wapige ndo utajua hii nchi pesa zinapigwa.
Hela za makarani mfano, katika kituo cha N.I.T makarani juzi walipewa shilingi laki 4 na kulikua na makarani zaidi ya 1450 lakini hao makarani walipewa pesa kwa mkono na kulazimisha wakahesabie nje eti kupisha wengine wapewe ili kuokoa muda ambapo kati ya hao makarani zaidi ya 200 walikuta wamepewa laki tatu na 90 tu yaani 390k badala ya 400k yaani laki nne sasa piga hesabu hapo watu zaidi ya 200 wamepunjwa elfu 10 zidisha mara watu 200 ndo mtajua hii nchi inapigwa..
Pia Sehemu nyingi Tanzania kulikua na majina hewa ya wanasiasa,madiwani na makada wa ccm na watumishi wa umma ambao inaonekana walilipwa kama makarani lakini ukweli hawakuwepo kwenye mafunzo.
Mfano kuna madiwani kadhaa wa ccm,makada wa ccm na watumishi wa umma ambapo kwenye sensa inaonekana waliomba, kwenye interviews majina yalitoka kwamba waende, lakini hawakuonekana, na cha ajabu waliopata usaili nao wamo na kwenye mafunzo hawakuwepo lakini majina ya walolipwa nao wamelipwa, huu mchezo ngazi ya kiwilaya maplayer wakubwa ni MADC, WAKURUGENZI na WASIMAMIZI WA SENSA KIWILAYA NA WALE WA VITUO VYA KATA VYA SENSA....
Unaambiwa Tanzania kuna maelfu ya makarani hewa wamelipwa hela za Sensa, inasikitisha huu mchezo umechezwa na Watu wa NBs, vigogo wa chama, Madc ndo usiseme, madiwani, watu wa halmashauri na wasimamizi wakuu wa vituo vya sensa...
Kibaya zaidi hizi hela zinatoka hazina moja kwa moja ambapo watu wanapiga pesa haswaa,uhuni mwingine hadi sasa kuna sehemu makarani hawajalipwa, wahuni wamechukua hela wakaenda kuziingiza kwenye mzunguko wa biashara zao then wakishavuna faida ndo makarani wanalipwa kwa kuchelewa huu mchezo unachezwa sana.
Kiujumla zoezi la Sensa limejaa wizi, wizi, ufisadi na kila aina ya upigaji, wakileta ukaguzi wa nje mtagundua sio chini ya bilioni 200 au bilioni 400 zimefyekwa na kuliwa na wachache...
Hii nchi inapigwa sana....Nadhani hata wakaguzi wa ndani hawataweza hili jambo ni mzigo mkubwa mno huu natamani tupate wakaguzi wa nje muone madudu yatakayoanikwa, kuna washenzi hadi natamani niwataje kwa majina wamehusika moja kwa moja kwenye kufuja hizi pesa, Nimeamini nchi yetu kuna ufisadi wa kutisha!!!Sasa niwatonye tu waulizeni mauditors madudu wanayoyakutaga huko halmashauri!!!Mnacholetewa na Ma-Cag hicho ni 40% tu ya kiasi halisi chenyewe, auditors wengi hupoozwa sana na halmashauri nyingi, hakuna watu wanaongoza kwa kupoozwa kama mauditors kwani hukuta madudu kwenye halmashauri nyingi sana na ya kutisha lakini mengi yanafichwa kwa kupoozwa, hivi mnafahamu kuwa C.A.G dr Assad ile report yake alikuta kuna zaidi trilioni 4 hazijulikani zilikwenda wapi?Lakini baada ya kumkuta la kumkuta alituambia ni 1.5 trilioni ila ajitahidi sana.
Kwa hili linahitaji wakaguzi wa nje tu waje kukagua hili la sensa ni too much, sijui kama Tanzania itakaa iendelee kwa huu wizi uliokithiri hivi...Hii nchi ina uozo mwingi sana naandika hadi natetemeka kwa hasira...
Umeamua kumtishia kwa feck ID?Wewe ni mpuuziunajua nipo kitengo gani tuanzie hapo??
Mpiga zumari.Kwa kuwa mmeshachukua mzigo basi mshukuruni Mungu
Nchi nyingine hata hiyo laki 5 mngekosa
Kwa hiyo, hapo Mungu ndo ametoa hiyo Mia Tano Elfu unayoiita Laki mitanLaki 5 uliyopewa haikutoshi?
Yule ajuza anapoongea huu ujinga huwa namuona Ni mwehu Fulani hivi.Haya watu wa sensa mkalitizame hili
Watu washavuta nusu milioni halafu wanakuja kutupigia mikeleleMpiga zumari.
YohanaMbatizaji katika ubora wake.
Na Kuna waliovuta millions!Watu washavuta nusu milioni halafu wanakuja kutupigia mikelele
Wewe hiyo laki 4 + laki 9 ya Kishikwambi ni 1.3mNa Kuna waliovuta millions!
Kula kwa urefu wa kamba.