Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Nasikia kadhia ya Biashara United, bado hatuna taarifa rasmi kuhusu mchezo wa pili dhidi ya hao walibya,
Vyovyote iwavyo, Kuna siku nliandika, au nlisema katika mahojiano baada ya ile kadhia ya visa kwa safari ya Djibouti, kwamba kama ambavyo Club zina wasemaji/maafisa habari, zinahitaji pia watu wa Protocol ambao kazi yao kubwa ni kudeal na ishu za protocol na logistics.
Mimi nimefanya kazi Foreign Affairs, kuna idara inatwa Protocol Department na pia kuna Idara ya Maadhimisho Ofisi ya Waziri Mkuu, afu kuna Idara/Kitengo cha Maafa pia OWM, walioweka hizo idara walijua umuhimu wake kimajukumua.
So club lazima ziwe na watu wa Taaluma hizo, ambao wao watafanya kazi kama vile kushughulikia passports za kusafiria za Wachezaji na bench la ufundi.
Pale ambapo itahitajika visa watashughulikia kwa wakati, pale itakapohitajika aircraft clearance watawajibika wao nk
Niwape mfano, ikiwa Ndege inakuja nchini ambayo sio commercial flight lazima iombe Kibali Mamlaka ya Anga-TCAA na Ngome.
Haya yote yanahitaji MTU mwenye hiyo taaluma na uelewa wa masuala hayo.
Kufupisha, itoshe tu kusema kuwa, kadri mpira wetu unavyokua be it domestically or internationally, kuna vitu hatuwezi kukwepa.
Tujipange, tusipojipanga tutapangwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyovyote iwavyo, Kuna siku nliandika, au nlisema katika mahojiano baada ya ile kadhia ya visa kwa safari ya Djibouti, kwamba kama ambavyo Club zina wasemaji/maafisa habari, zinahitaji pia watu wa Protocol ambao kazi yao kubwa ni kudeal na ishu za protocol na logistics.
Mimi nimefanya kazi Foreign Affairs, kuna idara inatwa Protocol Department na pia kuna Idara ya Maadhimisho Ofisi ya Waziri Mkuu, afu kuna Idara/Kitengo cha Maafa pia OWM, walioweka hizo idara walijua umuhimu wake kimajukumua.
So club lazima ziwe na watu wa Taaluma hizo, ambao wao watafanya kazi kama vile kushughulikia passports za kusafiria za Wachezaji na bench la ufundi.
Pale ambapo itahitajika visa watashughulikia kwa wakati, pale itakapohitajika aircraft clearance watawajibika wao nk
Niwape mfano, ikiwa Ndege inakuja nchini ambayo sio commercial flight lazima iombe Kibali Mamlaka ya Anga-TCAA na Ngome.
Haya yote yanahitaji MTU mwenye hiyo taaluma na uelewa wa masuala hayo.
Kufupisha, itoshe tu kusema kuwa, kadri mpira wetu unavyokua be it domestically or internationally, kuna vitu hatuwezi kukwepa.
Tujipange, tusipojipanga tutapangwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app