Kuna ukweli?

Kuna ukweli?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,704
Reaction score
7,409
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
 
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
JKT ni sehem ya TPDF, ile ni kamandi tu

Kwa hiyo wako sawa kabisa, ila suala la bunge kuondoa vigezo sijui limekaaje

Ninachojua jeshi hudanya hivyo pale wanapohitaji wataalam wa fani mbali mbali, after that. Ni jkt tu
 
JKT ni sehem ya TPDF, ile ni kamandi tu

Kwa hiyo wako sawa kabisa, ila suala la bunge kuondoa vigezo sijui limekaaje

Ninachojua jeshi hudanya hivyo pale wanapohitaji wataalam wa fani mbali mbali, after that. Ni jkt tu
Spika Tulia ameelekeza hivyo Bungeni lakini katazo halikuutiwa na Jeshi.
 
Jeshi limeanza kuwa vocal dhidi ya maamuzi ya wanasiasa!!?

Ni rasmi linataka ku influence uongozinna siasa zetu!!

Ni hatua nzuri,ujinga ulianza kumea kwenye siasa zetu!!
 
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
Ajira zote hapa Tz ukiacha taasis za benki na vyuoni kupata waadhiri , ajira nyingi watu wanaenda na vimemo kutoka CCM( kwa wanasiasa). Ni ajira chache sana ambazo hazina vimemo.
 
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
safi sana,tusije tukawa na jeshi lililojaa mashoga watupu
 
Spika Tulia ameelekeza hivyo Bungeni lakini katazo halikuutiwa na Jeshi.
Jeshi lilijibu hoja hiyo clear bilankupepesa macho kuwa linafanya kazi na kuwajibika kwa amiri jeshi mkuu na sio bunge.

Bunge wasijisahaulishe kuhusu mamlaka yao.
 
Hahaaaa
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
Pole. Jeshi letu haliwezi kuwa huru. Jiulize hili swali. Je umewahi kusikia mwalimu akistaafu na kuteuliwa kuwa balozi au mwenyekiti wa bodi? Kinyume chake wakuu wa majeshi wakistaafu ni kawaida kusikia kateuliwa kuwa balozi, mwenyekiti wa bodi n.k. do you know why???? Kwa mfano huo akili za kuambiwa changanya na za kwako🤣
 
Hakuna mwanajeshi anyeweza kukataa kimemo cha Kikwete, Wasira na Nchimbi.

Hiyo ni kauli tu lkn siyo vitendo
 
Kuna tetesi nimezipata mahali kuwa JWTZ imeliagiza JKT kuacha mara mmoja kuandikisha vijana jeshini kwa Vimemo kutoka kwa wanasiasa. Unakuta Mwanasiasa moja analeta majina ya ndugu 100 kupitia maeneo tofauti.

Jeshi linakuwa la undugu. Jeshi limeapa kuwataja kwa majina na kuchukua hatua. Ilisema sehemu ya tetesi hiyo.

Hivi karibuni Jeshi limelikatalia Bunge kuondoa kigezo cha JKT ktk uandikishaji licha ya Bunge kupinga kigezo hicho.
Kumbuka kuwa kigezo cha kujiunga majeshi yote humu nchini ni lazima uwe umepitia JKT.

Kuna ukweli wowote kuwa Jeshi sasa linataka kuwa huru?
Bunge walikuwa sahihi. JWTZ kama limekomalia huo utaratibu ni makosa makubwa.

Raia wote wanatakiwa kuwa na mafasi sawa ya kwenda jeshini.

Kwa sasa ni rondomly selection zinafanyika kwa hao form six kwenda jeshini.


Wapo vijana wanaoishia form 4 na kupita njia nyingine.

Sio kila mtu anaweza kuwa askari,ila inapaswa kuwe na uwezekano sawa wa kila raia kupata nafasi ya jeshi.

Vinginevyo itakuja kutokea shida, uzalendo hautakuwepo.
 
Back
Top Bottom