Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Wadau wenzangu
Hizi ni tetesi zinazosambaa kwa kasi kubwa kama moto wa gesi.
Kwamba "Daktari wa Soka" sasa hapokei simu za Viongozi wake au muda mwingine huwa hapatikani kabisa.
Kwamba eti tabia yake imebadilika pakubwa siku za karibuni.
Kwamba mchezaji huyo raia wa Uganda ana mipango mkakati asiopenda kuwashirikisha waliomuajiri.
Mwenye Taarifa za uhakika atufahamishe.
Hizi ni tetesi zinazosambaa kwa kasi kubwa kama moto wa gesi.
Kwamba "Daktari wa Soka" sasa hapokei simu za Viongozi wake au muda mwingine huwa hapatikani kabisa.
Kwamba eti tabia yake imebadilika pakubwa siku za karibuni.
Kwamba mchezaji huyo raia wa Uganda ana mipango mkakati asiopenda kuwashirikisha waliomuajiri.
Mwenye Taarifa za uhakika atufahamishe.