Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,371
Hilo ni kweli kabisa, moja kati ya chanzo cha kifo changu ni YangaMkuu mbona kama umepanic sanahizi team zitawaua jamani
Hilo ni kweli kabisa, moja kati ya chanzo cha kifo changu ni YangaMkuu mbona kama umepanic sanahizi team zitawaua jamani
Dah yani huyo Aucho mwenyewe katua mchana na sasa yupo kambini ila kuna muhuni mmoja anakuja na tetesi zake ambazo hazina kichwaHahahaha mbona matusi makali na hasira kali hahahaha dah
Kila mchezaji aliye kwenye fomu Yanga kasajiliwa miezi 6,kolo mmeaminishwa upumbavu sana,aucho ni mchezaji yule sio shabiki kama yule mghana mwehuhaya msemaji wa GSM, na mtaalamu wa mikataba minono.
Keshasajiliwa unyamani yule, mkataba wa miezi mitatu ya majaribio unaelekea kuisha.
juzi tuuu hapa goli mbili zimetoka kwakeee sasa sjui unataka afanyaje au unataka aje kwenuSasa huyo Morrison anakipi anachofanya huko? Si bora hata Dilunga anaeleweka! Wape pongezi Yanga wana skauti ya ukweli!
Ulichosema kina ukweli wa asilimia zote, hapa Kampala ukienda hata dukani kwa mara ya kwanza mwenye duka ata kutreat vizuri, mara ya pili, ya tatu anaanza kukuona kama huna sehemu nyingine ya kwenda na nyodo kibao ..Mi mwenyewe nilitaka kushangaa, Aucho atakuwa mganda wa aina gani asiwe msumbufu. Hakika nawaambia sifa kubwa ya waganda ni usumbufu! Yaani ukiajili mganda jiandae ki saikolojia maana akiishagundua thamani yake kwako, utakoma ubishi! Atasubiri siku Una Jambo nyeti Sana eye ndio analeta madai yake, migomo, mikwara n.k. Binafsi huwa sina Imani yoyote na mganda. Eye haangalii unanufaikaje naye, eye anajali maslahi yake tu. Hivyo basi likisemwa lolote kuhusu mganda yeyote, Mimi sipingi. Waganda ni wasumbufu sio pole pole, ni saaaaana tu!
Mtu kudai haki yake ni usumbufu? Tubadilike watanzania.Mi mwenyewe nilitaka kushangaa, Aucho atakuwa mganda wa aina gani asiwe msumbufu. Hakika nawaambia sifa kubwa ya waganda ni usumbufu! Yaani ukiajili mganda jiandae ki saikolojia maana akiishagundua thamani yake kwako, utakoma ubishi! Atasubiri siku Una Jambo nyeti Sana eye ndio analeta madai yake, migomo, mikwara n.k. Binafsi huwa sina Imani yoyote na mganda. Eye haangalii unanufaikaje naye, eye anajali maslahi yake tu. Hivyo basi likisemwa lolote kuhusu mganda yeyote, Mimi sipingi. Waganda ni wasumbufu sio pole pole, ni saaaaana tu!
Hizi porojo ndo mnazozipendaAucho kafichwa na Mnyama yupo chimbo huko.
Watangulizeni mbele wakina Abdallah bin cleb na wakina Seif Magari wanajua vigisu za mpira wa bongo injinia mwepesi sana.Hizi porojo ndo mnazozipenda
Acha porojoWatangulizeni mbele wakina Abdallah bin cleb na wakina Seif Magari wanajua vigisu za mpira wa bongo injinia mwepesi sana.
Aucho kafichwa unyamani hutomuona tena Utopoloni.
Shukrani anapewa Manara uropokaji wake vijiweni unawapa njia Simba kuibomoa Yanga.
Mimi nawafahamu sana waganda nimesoma kwao na nimsoma nao. Sisi ndiyo wasumbufu. Mnamchukuwa mtu, mnamsaininsha na ahadi kedekede. Mkishapata sahihi yake mnaanza kumzungusha kwenye maslahi. Mnapenda saana kuwakopa wachezaji. Tena wakati mwingine hamuwathamini wachezaji wananchi. Mtu atakuwa mchezaji mzuri kuliko wa nje, lakini malipo yake kiduchu. Timu za TZ inabidi zioanishe mishahara na uchezaji, siyo kulipa tofauti ya wa ndani na nje. Huwezi kujenga timu kwa kupendelea. malipo sehemu zote duniani huenda na experience na performance na sio ugeni na umaarufu wa jina tu.Mi mwenyewe nilitaka kushangaa, Aucho atakuwa mganda wa aina gani asiwe msumbufu. Hakika nawaambia sifa kubwa ya waganda ni usumbufu! Yaani ukiajili mganda jiandae ki saikolojia maana akiishagundua thamani yake kwako, utakoma ubishi! Atasubiri siku Una Jambo nyeti Sana eye ndio analeta madai yake, migomo, mikwara n.k. Binafsi huwa sina Imani yoyote na mganda. Eye haangalii unanufaikaje naye, eye anajali maslahi yake tu. Hivyo basi likisemwa lolote kuhusu mganda yeyote, Mimi sipingi. Waganda ni wasumbufu sio pole pole, ni saaaaana tu!
Tulia wewe.Acha porojo
Aucho katua Jana na yuko kambini, kama kufichwa atakua kafichwa kule avic town kigamboni.
Ngoja tukuache ujifarijiTulia wewe.
Aucho unamjua wewe,Aucho sio mtu wa njanjaa kama za pale Uto,Aucho tuna jambo nae wanamsimbazi.
Kaa utulie.
Usihofu ukashindwa hata kula,wewe tulia usihofu,pale uto wachezaji wa kuziba pengo la Aucho wapo.Ngoja tukuache ujifariji
Umepaniki mkuu, Ni porojo tu za kishabiki, japo inaweza kuwa kweli.Kila mchezaji aliye kwenye fomu Yanga kasajiliwa miezi 6,kolo mmeaminishwa upumbavu sana,aucho ni mchezaji yule sio shabiki kama yule mghana mwehu
Ni mbaya kwa nyie mnaokunywa kupunguza stress za maisha. Lishe duni alafu kutwa ni mwendo wa kipimo tu. Si afya.Gongo mbaya sana
Sikia acha uongo aucho yanga walivunja mkataba wake,hivi unadhani angekujaje yanga bika mkataba kuvunjwa?Mimi nawafahamu sana waganda nimesoma kwao na nimsoma nao. Sisi ndiyo wasumbufu. Mnamchukuwa mtu, mnamsaininsha na ahadi kedekede. Mkishapata sahihi yake mnaanza kumzungusha kwenye maslahi. Mnapenda saana kuwakopa wachezaji. Tena wakati mwingine hamuwathamini wachezaji wananchi. Mtu atakuwa mchezaji mzuri kuliko wa nje, lakini malipo yake kiduchu. Timu za TZ inabidi zioanishe mishahara na uchezaji, siyo kulipa tofauti ya wa ndani na nje. Huwezi kujenga timu kwa kupendelea. malipo sehemu zote duniani huenda na experience na performance na sio ugeni na umaarufu wa jina tu.