Kuna ukweli kuhusu wanafunzi wa boarding kuwekewa mafuta ya taa kwenye chakula?

Hayana madhara haya wekwi mara kwa mara lengo kuu punguza hakshi mwilini.....kipind tuko shule gar lilikuwa lime beba unga wa ugali madumu ya petrol yaka mwagikia unga humo,unga ugali una harufu ya petrol,wali ulikuwa na mavi ya panya maana stoo panya walikunya sana na maharage mafuta ya taa yana tiwa humo ...ukiwa una kula nyali (wali) ina bidi kutoa stata zile za kwenye taa nyeupe mle gizani usipate kuona mavi ya panya
 
mafutaa ya taa ni mazuri sana hasa wakiweka kwenye makande yanafanya chakula kinakuwa kitamu
 
Ofcoz wanaweka kdg en just 4 gud intention.....though ata mm harufu yake ilikua inanikera
 
Hayana madhara haya wekwi mara kwa mara lengo kuu punguza hakshi mwilini.....kipind tuko shule gar lilikuwa lime beba unga wa ugali madumu ya petrol yaka mwagikia unga humo,unga ugali una harufu ya petrol,wali ulikuwa na mavi ya panya maana stoo panya walikunya sana na maharage mafuta ya taa yana tiwa humo ...ukiwa una kula nyali (wali) ina bidi kutoa stata zile za kwenye taa nyeupe mle gizani usipate kuona mavi ya panya
Sayansi ya wapi hiyo inasema mafuta ya taa yanapunguza hashiki au nyege??

Kuhusu vyakula vya shule muda fulani kuwa na wadudu kwenye unga,Mchele au maharage hiyo kawaida tu na tumekula sana hakukuwa na shida.

Hapa ni issue ya baadhi ya shule kuwekewa mafuta ya taa ktk Chakula ndiyo tatizo?? Kwanini iko hivyo??
 
Back
Top Bottom