tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Dada mmoja ameniambia kuwa walikuwa wanawekewa mafuta ya taa ndani ya chakula ili kupunguza ashiki walipokuwa sekondary boarding school.
Ndiyo ananiuliza je kuna athari atazipata kiafya kama kansa? Amenichanganya kabisa kuhusu hii habari mafuta ya taa.
Ndiyo ananiuliza je kuna athari atazipata kiafya kama kansa? Amenichanganya kabisa kuhusu hii habari mafuta ya taa.