longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,197
- 3,994
kuuana tu kisa unoko wa maticha!
kuuana tu kisa unoko wa maticha!
Sifahamu mkuu ni sayans ya wapi ila utamaduni nimeukuta na kuacha huko shule na sio kwamba kila siku mafuta ya taaSayansi ya wapi hiyo inasema mafuta ya taa yanapunguza hashiki au nyege??
Kuhusu vyakula vya shule muda fulani kuwa na wadudu kwenye unga,Mchele au maharage hiyo kawaida tu na tumekula sana hakukuwa na shida.
Hapa ni issue ya baadhi ya shule kuwekewa mafuta ya taa ktk Chakula ndiyo tatizo?? Kwanini iko hivyo??
Kiukweli nilikuwa sifahamu kabisa ila ni ujinga uliopitiliza bara la Africa.Sifahamu mkuu ni sayans ya wapi ila utamaduni nimeukuta na kuacha huko shule na sio kwamba kila siku mafuta ya taa
Minimization of traumatic stress which might arise frm libidoGood intention gani hiyo ......
Ndiyo ule mafuta ya taa.... Kama sio ukichaa huo ni nini hapo!!Minimization of traumatic stress which might arise frm libido
Unacho sema ni kweli mkuu dhans za ajabu sana hiziKiukweli nilikuwa sifahamu kabisa ila ni ujinga uliopitiliza bara la Africa.
Nimesoma O level mixture then A level Boys sikuwahi kusikia suala hili.
Tc nat scientifically proved mkuu datz y u cant find written doc abt that......its mor local buh it does help smhow,,,,, datz wat I knowNdiyo ule mafuta ya taa.... Kama sio ukichaa huo ni nini hapo!!
Nimesoma vitabu sijawahi kusoma eti kupunguza stress inayotokana na hali tofauti Hata hiyo libido eti sasa nenda kaweke mafuta ya taa kwenye Chakula halafu ule hicho Chakula na stress ya libido itakwisha.
Teh teh na yaonesha umeruka sana ukuta wewe bi shostnliambiwa ni kwajil ya kupunguza makali ya hormone ili tusiruke ukuta..
Tusiwatese watoto kwa ujinga wa wazazi kielimu.Sikubaliani na suala hilo na nalaani vikali udhalilishaji wa aina hiyo kwa shule za Secondary zilizo na aina moja ya sex.Tc nat scientifically proved mkuu datz y u cant find written doc abt that......its mor local buh it does help smhow,,,,, datz wat I know
sawa mkuuTusiwatese watoto kwa ujinga wa wazazi kielimu.Sikubaliani na suala hilo na nalaani vikali udhalilishaji wa aina hiyo kwa shule za Secondary zilizo na aina moja ya sex.
Mbona St Marian Secondary hawafanyi hivyo na hakuna lolote linalowapata wale watoto wa kike??
Dah hakuna ambae hajapiga chabo wewe hata kama unajiweza lazima uhakiki kwa mwingineHahahahaha.......na wewe na avatar yako inaonekana ulikuwa mpiga chabo maarufu...... Mmmh!!!