Kile ni kipindi cha madomo zege Vs Single mothers. So kama na wewe uko kwenye hilo kundi nenda ukajiunge naoHeshima mbele, kwema bandungu
Hili onesho la wanaume na wanawake kutafuta wapenzi/wenza kwenye show lina uhalisia au ukweli? ama ni maigizo ili kupata kipindi cha kuuza kwenye TVs?
Ni maigizo tu, we mtu unawezaje kwenda kutafuta mwenza wa maisha mbele ya camera na kascript juu.Mshangazi dot com kuna ukweli kwenye hii show au ni kazi za watu?
Dah afu unakuta wako serious kabisa 🤣 ila dunia ya sasaNi maigizo tu, we mtu unawezaje kwenda kutafuta mwenza wa maisha mbele ya camera na kascript juu.
Hata Marekani na Ulaya show za namna hii, kwa kiasi kikubwa huwa zinafeli. Japo ni entertainment nzuri sana!
Ndio show gani hiyomzabzab mbususu za kule Mr Right show zinapatikana kweli au ni maigizo
Mhm mie nina azam tv tuuipo Startimes mkuu unatafuta mbususu mbele ya majaji
Sio mfuatiliaji sana wa hizo show...mie matandaoni nasaka show za warembo kutingisha takoAnhaa ila hata mitandao ya kijamii si ushawahi kuona hizo show za kusaka wapenzi.