Kuna Ujumbe Mzito Huku

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,755
Reaction score
50,828
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemjulia hali, Mama Fatma Karume,Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, ambaye anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Lumumba Zanzibar.

 
Wanasiasa bwana! Watafanya kila kitu kuonekana humble, lakini tunajua macho yote yapo kwenye kura za familia ya Karume.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…