RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Kwahiyo vichaa siku hizi wanaruhusiwa kuwa watumishi wa uma?Nabii Tito alipelekwa Mirembe ikaonekana Hana Akili akaachwa,Juzi kati nilikutana nae maeneo ya Mbezi Makonde anatembea LA Kanzu lake na Limsalaba,Huo Polisi lazima ijiridhishe, sasa Naona huyu Mkuu kaamua Kuchukua Hatua Kali Yeye kama Yeye!
Ndio Maana Kisheri MTU ambae hayuko Vizuri au Mlevi,anapokuwa Mlevi hawezi Kusaini Mikataba!
Sasa hiyu alifanya tukio akiwa Mlevi!
Lakini watajuana wenyewe, Wafuate tuu Utaratibu!
Sent using Jamii Forums mobile app