Kuna uhusiano gani wa mikoa ya Kagera, Mbeya, Kilimanjaro na Arusha kuelewena kila kitu?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,613
8,751
Mikoa niliyotaja kwenye kichwa cha habari hapo juu ina muingiliano mkubwa sana kuanzia elimu,tamaduni na mengine.

Je, kuna historia iliyopo mda mrefu karne na karne kuhusu sehemu izi zenye makabila haya. Wanaelewana sana na mpaka usafiri wa mkoa fulani kwenda mkoa fulani.

Kwenye mahusiano mikoa hii ni mkubwa sana.
 
Uwekezaji wa Kanisa Katoliki ndio kiini cha muunganiko huo.
Sehemu zote zenye maendeleo makubwa nchini na kwingineko jua ukatoliki haujaota mizizi ukilinganisha na maeneo yaliyotopea umaskini.

Kaskazini % kubwa ni lutheran... NNyanda za juu kusini hasa Mbeya ni makanisa ya uamsho na Moravian... Mwanza AICT na makanisa menginw ya uamsho nenda na Dar es salaam

Mikoa/maeneo ambayo ukatoliki ulijichimbia hakuna mwamko wa maendeleo kwasababu kanisa tangu mwanzo liliamini katika umilikaji njia za uchumi ili kukuza uchamungu.

Chunguza duniani kote maeneo yenye ukatoliki mwingi yakoje.
 
Sehemu zote zenye maendeleo makubwa nchini na kwingineko jua ukatoliki haujaota mizizi ukilinganisha na maeneo yaliyotopea umaskini.

Kaskazini % kubwa ni lutheran... NNyanda za juu kusini hasa Mbeya ni makanisa ya uamsho na Moravian... Mwanza AICT na makanisa menginw ya uamsho nenda na Dar es salaam

Mikoa/maeneo ambayo ukatoliki ulijichimbia hakuna mwamko wa maendeleo kwasababu kanisa tangu mwanzo liliamini katika umilikaji njia za uchumi ili kukuza uchamungu.

Chunguza duniani kote maeneo yenye ukatoliki mwingi yakoje.
Uwongo.Kagera Ukatoliki umeshamiri sana ndio maana ktk Mkoa mmoja kuna Majimbo Matatu,Yaani Jimbo katoliki la Bukoba,Kayanga na Rulenge-Ngara,Kilimanjaro kuna majimbo Katoliki mawili yaani Jimbo Katoliki la Moshi na Same,Mwanza ni Jimbo kuu kabla ya Geita kuwa mkoa walikuwa na majimbo katoliki mawili yaani Jimbo kuu la Mwanza na Geita,Kuhusu Mbeya huku kuna mchanganyiko wa makanisa ndio mkoa unaoongoza nchini kwa kuwa na Makanisa/madhehebu mengi ni km Dsm.
 
Uwongo.Kagera Ukatoliki umeshamiri sana ndio maana ktk Mkoa mmoja kuna Majimbo Matatu,Yaani Jimbo katoliki la Bukoba,Kayanga na Rulenge-Ngara,Kilimanjaro kuna majimbo Katoliki mawili yaani Jimbo Katoliki la Moshi na Same,Mwanza ni Jimbo kuu kabla ya Geita kuwa mkoa walikuwa na majimbo katoliki mawili yaani Jimbo kuu la Mwanza na Geita,Kuhusu Mbeya huku kuna mchanganyiko wa makanisa ndio mkoa unaoongoza nchini kwa kuwa na Makanisa/madhehebu mengi ni km Dsm.
Umeelewa hoja zangu kabla ya kukurupuka kujibu uongo?

Mkoa wa Kagera una maendeleo gani ya maana pamoja na kuwa na majimbo matatu?
 
Mikoa yote tajwa imetawaliwa sana sana na ukatoriki na hata mapadri wengi wametoka mikoa hiyo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Uongo Mbeya Hakuna ukatoliki mwingi, zaidi ni Pentecostal Churches na other Protestants ndiyo ASILI yake huku green City,mimi ni mzaliwa wa huku kyela,kulikua na kanisa moja tu,la katoliki,pia rungwe,so siyo hoja!
 
Nadhani mtoa mada amesema "kuna muunganiko flani hivi" as if ni jamii iliyowahi kuishi pamoja ikawa na katabia ka aina moja hivi au kadestur flan ka aina moja, ndio maana nikahisi ni ukatoliki maana maeneo hayo kinachowaunganisha tunachokijua ni destur ya aina moja hasa katoliki
 
Umeelewa hoja zangu kabla ya kukurupuka kujibu uongo?

Mkoa wa Kagera una maendeleo gani ya maana pamoja na kuwa na majimbo matatu?
hakuna maendeleo yoyote tofaoti na watu wamkoa huo kuwa mapadiri wengi watawa na kila mkiristo kuvaa msalaba shingoni mnaita lozali na kuzalisha wasomi wengi walio poelea ugaibuni tu basi
 
Nadhani mtoa mada amesema "kuna muunganiko flani hivi" as if ni jamii iliyowahi kuishi pamoja ikawa na katabia ka aina moja hivi au kadestur flan ka aina moja, ndio maana nikahisi ni ukatoliki maana maeneo hayo kinachowaunganisha tunachokijua ni destur ya aina moja hasa katoliki
mbeya kagera kirima njaro ndio mikoa ya kwanza nchi hii kufaamika kutoa wasomi wengi kisa kanisa katoriki
 
Kuna jambo pia linaniwazisha kidogo,sio utafiti rasmi lakini katika mzunguko wangu(cycle yangu) kuna jambo linanipa ukakasi

Kuna suala la ndoa,kumekua na ndoa nyingi sana kati ya watu wa mbeya na arusha na kilimanjaro.

Ukoo wangu mimi watu 8 tumeoa na kuozesha kilimanjaro
Rafiki zangu watatu wa karibu wameoa arusha na moshi
Eneo nalofanyia kazi wadada wa mbeya watatu wameolewa kaskazini.

Sijajua ni cycle yangu tu au la,binafsi nmeoa boma ng'ombe mchaga wangu
 
Mikoa niliyotaja kwenye kichwa cha habari hapo juu ina muingiliano mkubwa sana kuanzia elimu,tamaduni na mengine.

Je, kuna historia iliyopo mda mrefu karne na karne kuhusu sehemu izi zenye makabila haya. Wanaelewana sana na mpaka usafiri wa mkoa fulani kwenda mkoa fulani.

Kwenye mahusiano mikoa hii ni mkubwa sana.
Sijaielewa hata mada yako. We unaijua vizuri mikoa uliyoitaja? Unazifahamu hata wilaya za mkoa wa Kagera, Arusha, au Kilimanjaro ili ujenge hiyo hoja unayotaka kujenga. Mwingiliano wa aina gani. Tofautisha makao makuu ya mikoa na mikoa yenyewe. Tofautisha mji wa Arusha na mkoa wa Arusha, Mkoa wa Arusha wilaya zake ni Arumeru, Arusha, Longido, Monduli, Ngorongoro na Karatu huo mwingiliano uko wapi. Tofautisha wa Moshi na Mkoa wa Kilimanjaro. We inaonekana hujui jiografia ya nchi hii. Subiri uijue nchi vizuri kwanza acha kuishi kwa hisia au kwa kudanganywa.
 
Uwongo.Kagera Ukatoliki umeshamiri sana ndio maana ktk Mkoa mmoja kuna Majimbo Matatu,Yaani Jimbo katoliki la Bukoba,Kayanga na Rulenge-Ngara,Kilimanjaro kuna majimbo Katoliki mawili yaani Jimbo Katoliki la Moshi na Same,Mwanza ni Jimbo kuu kabla ya Geita kuwa mkoa walikuwa na majimbo katoliki mawili yaani Jimbo kuu la Mwanza na Geita,Kuhusu Mbeya huku kuna mchanganyiko wa makanisa ndio mkoa unaoongoza nchini kwa kuwa na Makanisa/madhehebu mengi ni km Dsm.
Karagwe Lutheran ni dominant na ndio wilaya yenye maendeleo mkoa mzima
 
Back
Top Bottom