Kuna uhusiano gani kati ya mafuta ya zaituni na majini?

Mke wangu aliugua ugonjwa usioeleweka kama miezi miwili iliyopita,basi mama mkwe akashauri nimpeleke kwenye maombi kanisa la Safina lilipo jijini Arusha,ile tunafika geti la kuingilia kanisani kuna jamaa amesimama hapo na mafuta kwenye pembe(sina uhakika kama ni la ng'ombe)akatupaka kwenye paji la uso,kisha unaingia kanisani,sikuelewa kabisa hicho kitu nikaulizia watu nikaambiwa mafuta ya mzeituni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mrejesho???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndg yng haya mafuta achana nayo kabisa kiasili tu ni tiba ya magonjwa mengi sana ila kwa ishu ya kutoa majini hayafanyi kazi hvhv kuna kisomo maalum kinaitwa "rukya" yanasomewa kisha ukipaka mkononi ukaunyoosha hata useme kwa jina la mama yako mzazi(achili mbali) kwa jina la yesu bc mtu yeyote mwenye shetani eneo hlo lazma ainuke mwenyeweeee bila kutaka aje mbele na mashekhe watakuja kujibu siku ya mwsho kwa tamaa zao za kidunia wanafanya sana hii biashara ya mafuta wachungaji wengi huchukua haya mafuta kwa mashekhe kutokana na uasili na historia ya haya mafuta watu wa kisunna wanayajua zaidi kuliko wengne!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndg yng haya mafuta achana nayo kabisa kiasili tu ni tiba ya magonjwa mengi sana ila kwa ishu ya kutoa majini hayafanyi kazi hvhv kuna kisomo maalum kinaitwa "rukya" yanasomewa kisha ukipaka mkononi ukaunyoosha hata useme kwa jina la mama yako mzazi(achili mbali) kwa jina la yesu bc mtu yeyote mwenye shetani eneo hlo lazma ainuke mwenyeweeee bila kutaka aje mbele na mashekhe watakuja kujibu siku ya mwsho kwa tamaa zao za kidunia wanafanya sana hii biashara ya mafuta wachungaji wengi huchukua haya mafuta kwa mashekhe kutokana na uasili na historia ya haya mafuta watu wa kisunna wanayajua zaidi kuliko wengne!

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay sasa hapo naanza kupata muongozo kiongoz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida ya matumizi ya mafuta ya zaituni olive oil

olive-oil_jpg_600x400_crop_q85.jpg


Mafuta ya Zaituni Olive Oil (MAFUTA YA UPAKO)

Mafuta ya zaituni yana manufaa mengi katika mwili na maisha ya binadamu kwa ujumla kama ifuatavyo;


(1)Mafuta ya zaituni hutibu maumivu ya tumbo kwa kunywa kijiko 1 mara 2 kwa siku
kwa muda wa siku 7 hadi siku 11 inshaallah utapona kabisa.


(2)Mafuta ya zaituni hutibu masheitani kwa kusomea kisomo cha Ruqia, mgonjwa atajipaka mwili mzima mara moja kwa siku pamoja na kutafuna vitunguu saumu punje tatu wakati wa kulala kwa muda wa siku arobaini inshaallah.


(3)Mafuta ya zaituni ni kinga ya masheitani wa kijini na wa kibinadamu kwa kujipaka mwili mzima mara moja kwa siku.


(4)Mafuta ya zaituni hutibu ugonjwa wa mafua kwa kupaka kwenye mwamba wa pua na ndani ya matundu ya pua mara tatu kwa siku.


(5)Tiba ya vidonda vya tumbo; Matumizi ni kutia vijiko 2 vya chakula katika uji mara mbili kwa siku kwa muda wa siku 90.


(6) Mafuta ya zaituni hutumika kama huduma ya kwanza kwa aliyekunywa sumu kwa kunywa, na kwa mwenye ganzi au kiharusi hutumia kwa kuchua mwilini asubuhi na jioni.


(7) Mafuta ya zaituni hutumika katika kuua wadudu wabaya walioko tumboni kwanjia ya kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku kwa muda wa siku saba.


(8) Mafuta ya zaituni huongeza nguvu za kiume kwa kunywa kijiko kimoja kwa siku pamoja na kuuchua uume mafuta yaliyochanganywa na vitunguu swaumu kwa muda wa siku saba hadi kumi na moja.


(9) Tiba ya ugonjwa wa kusahau: paka katika paji la uso kutwa marambili pamojana kunywa kijiko kimoja cha chai mara moja kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 11.


(10) Tiba ya degedege: hutumika kupakaa mwili mzima mafuta yaliosomewa ruqya, marambili kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.


(11)Kukojoa kitandani: kupakaa mafuta ya zaitun mwili mzima kutwa marambili huku akilamba matone mawili kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.
chanzo.Faida ya matumizi ya mafuta ya zaituni olive oil - JamiiForums
 
Back
Top Bottom