Kuna uhusiano gani kati ya GNLD na FREEMASONS?

Saturdays pia kuna watu wanaabudu
[/COLOR]Hapo kwenye red - ndio maana watu wengi wanaiitilia mashaka - hasa MIMI YATIMA - inakuwaje vikao vya Jumapili wakati watu wanahitajiwa pia kwenda kuabudu??? Nilikaribishwa sana na mtu mmoja lakini kigezo hicho kilinishinda - manake hapo ni kuchagua kati ya KUMWABUDU MUNGU NA SEMINA YA GNLD - priority ni ipi???

Hizo semina za Jumapili - na ikiwa kweli ni faida kusikiliza - kunavuta wanaoabudu Jumapili wamwache Mungu waende huko - why not on Saturdays??? :confused2:
 
Achana na mambo ya Freemason tulijadili hi

600189_4051900580335_1818317936_n.jpg

buji, nimeipenda hii
 
kaaazi kwelikweli!hizo bidhaa za GNLD watu tumezitumia mno na zimetusaidia sana,hatukuwahi kujiuliza kama zina uhusiano na freemason,iweje ghafla sasa kila siku ni maswali ya freemason tuuu!
 
The best way to distract peoples attention on serious matters is to feed them stupid small matters of less significance and let them bathe in them. Guys stop thinking negatively, as you way of thinking shapes you daily life. If you obsess in negative thinking you construct a negative atmosphere that surround you. Hawa you call Freemasons have been here a long time, they are real and proliferating. The way you keep talking about them you are like preaching their existence, feeding fear into people and making the cult grow strong and abominable. We do have a great deal to shape the way we think, perceive and arbor our lives.
 
Magnificient Biblia inasema Katika Waraka wa Kwanza wa Yohana sura ya 4 na mstari wa nne....Ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu,Nanyi mmewashinda kwa sababu YEYE ALIYE NDANI YENU NI MKUU KULIKO ALIYEKATIKA DUNIA...Huna sababu ya kuogopa mambo ya shetani,kama una Mungu wa kweli ndani.Chochote unachokitumia tumia katika Jina la Yesu,nawe hutadhurika.Freemason wanahusishwa na mambo mengi sana,ukitaka kufuata haya utajikuta huwezi kufanya jambo lolote hapa duniani kwa sababu wanahusishwa na kila sector.Kuanzia usafiri wa anga,nchi kavu,baharini,vyakula tunavyokula na mambo mengine mengi.Mfano ukisikia mmiliki wa Boeing au Airbus ni mwanachama wa Freemason ndio hutasafiri?Mbona hizo ndege wanapanda watumishi wa Mungu duniani kote kwenda kuhubiri injili.Achana na mawazo ya sabato masalia ishi tu kwa Imani na amani ,ukijua Mungu aliye ndani ni Mkuu kuliko shetani na mawakala wake wote....Freemason ni ki sehemu kidogo na shetani Bwana wetu Yesu Kristo alimshinda kitambo sana
!

Hapa duniani hakuna pesa ya bure wala kitu chochote cha bure, lazima kazi ifanyike, tena kazi inayoeleweka. kila short cut ina madhara yake tena makubwa. Hawa jamaa,GNLD, Forever Living na wengineo wa aina hii kujiunga nao ni kujilisha upepo, they are not what they say they are! ninge kushauri, tafuta watu wenye roho wa Mungu, they will give you reliable answers. Hapa jf, asilimia kubwa wanatumia akili zao bila kuangalia the spiritual part of the matter in question which is very wrong.

Jamii ya wanadamu inateseka na taabu za ulimwengu huu leo, ni kwa kushindwa kuelewa spiritual implications za mambo mbalimbali ambayo wanaingia kwa sababu ya shida za dunia. Shida hazitakaa ziishe mpaka pale mtu anapo amua kumgeukia Mungu katika kristo Yesu na kumtumikia katika roho na kweli (in the spirit and truth). ni vema kufahamu kuwa dunia imejawa na jule Muovu, that means asilimia kubwa ya mambo yanayofanyika duniani ni uovu. Tazama hata iibukapo mijadala inayohusu Mungu na maajabu yake hapa jf, wengi hupinga na kutoa scientific suggestions na kusahau kumbe hata science has its spiritual realm.Jambo laweza kuonekana jema machoni pa mtu lakini (kiroho ni zaidi ya balaa,linaangamiza maisha na hata kizazi). Hivyo hakuna usalama kabisa chini ya jua bila nguvu ya Mungu, Ndipo Mungu akasema pasipo mimi ninyi hamuwezi neno lolote. Which is very right.

Hakuna jambo linalotokea chini ya jua kwa bahati mbaya, hata ndoto, kila ndoto ina maana yake na ujumbe wake, kila jambo huja kwa kusudi lake na kuwa na maana yake. Mara zote mambo yote yasiyo na connection na Mungu huwa ni ubatili (uovu) maani ni ya dunia.

Laiti kama mtu akimshirikisha Mungu aliye hai katika kila jambo, mambo yote, mtu huyo hatokaa akosee popote chini ya jua. Nakushauri engage the spirit (through prayers) you will have all the answers about anything you need. Maana Mungu ni mwaminifu. Watu hawata shauri vema siku zote maana wenye hekima ya Mungu ni wachache sana.
 
Wanajamnvi heshima mbele,

Napenda kufahamu hawa watu wa GNLD na freemasons wana uhusino gani maana kuna stori kuwa hawa freemasons sasa wameamua kuja indirectly, na sasa wanapitia mlango wa nyuma hasa kwa kutumia umasikini wa watanzania....

na hawa GNLD ni watu gani hasa? mimi nawafahamu kama wasambaza madawa ya virutubisho........kuna agenda ya siri dhidi yao imejificha hapa??

kwa anayefahamu pliz atujuze hapa wale tusiofahamu...

the Magnificient!!
Ukiwa na wasiwasi hivyo maisha yatakua magumu sana.Kwa kifupi Freemansons hawana haja ya kujificha huwa wapo wazi kabisa. Watu wanavumisha mambo mengi ambayo hata wao hawahusiki kabisa.ila kitu ambacho kipo wazi ni kua wanahusika sana na mambo ya hela! je utaacha kuzitumia?
 
Back
Top Bottom