The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Wanajamnvi heshima mbele,
Napenda kufahamu hawa watu wa GNLD na freemasons wana uhusino gani maana kuna stori kuwa hawa freemasons sasa wameamua kuja indirectly, na sasa wanapitia mlango wa nyuma hasa kwa kutumia umasikini wa watanzania....
na hawa GNLD ni watu gani hasa? mimi nawafahamu kama wasambaza madawa ya virutubisho........kuna agenda ya siri dhidi yao imejificha hapa??
kwa anayefahamu pliz atujuze hapa wale tusiofahamu...
the Magnificient!!
Napenda kufahamu hawa watu wa GNLD na freemasons wana uhusino gani maana kuna stori kuwa hawa freemasons sasa wameamua kuja indirectly, na sasa wanapitia mlango wa nyuma hasa kwa kutumia umasikini wa watanzania....
na hawa GNLD ni watu gani hasa? mimi nawafahamu kama wasambaza madawa ya virutubisho........kuna agenda ya siri dhidi yao imejificha hapa??
kwa anayefahamu pliz atujuze hapa wale tusiofahamu...
the Magnificient!!