Kuna uhusiano gani kati ya GNLD na FREEMASONS?

The Magnificent

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
2,694
1,247
Wanajamnvi heshima mbele,

Napenda kufahamu hawa watu wa GNLD na freemasons wana uhusino gani maana kuna stori kuwa hawa freemasons sasa wameamua kuja indirectly, na sasa wanapitia mlango wa nyuma hasa kwa kutumia umasikini wa watanzania....

na hawa GNLD ni watu gani hasa? mimi nawafahamu kama wasambaza madawa ya virutubisho........kuna agenda ya siri dhidi yao imejificha hapa??

kwa anayefahamu pliz atujuze hapa wale tusiofahamu...

the Magnificient!!
 
Ah,mie naogopa hata kuiongelea hilo jina manake kila mtu anasemalake nimeona kwenye gazeti la udaku wametoa form zakujiunga nikasema mtu kama kweli mbona mpaka wazamaji barabarani watachukua form....mungu atustiri...
 
Poleni sana wale mnao jadili kuhusu freemason na GNLD. Naifahamu gnld kitambo na imesaidia watu wengi kiafya,kilimo na mzingira yanayotuzunguka .Hudhuria mafunzo yanayotolewa kila siku sinza mori utagifunza mengi kwa faida ya afya yako.Natoa ushauri sisi nchi za dunia ya tatu tumegubikwa sana na neno freemason,tuachane nalo tufanye kazi, na mwisho karibuni kwenye semina ubungo plaza jumapili saa saba ukumbi wa bluu peal hotel mjifunze mengi kuhusu GNLD
 
Sasa hivi kila kitu freemasons watu wataogopa kufanya mambo yao ya maana kwa kuhofia kuitwa freemasons, halafu kuwatajataja ndo mnazidi kuwajengea umaarufu na watu wanashikwa shauku ya kujua nini kinaendelea. wewe shika sana ulichonacho na imani yako( Devil at work)
 
Wanajamnvi heshima mbele,

Napenda kufahamu hawa watu wa GNLD na freemasons wana uhusino gani maana kuna stori kuwa hawa freemasons sasa wameamua kuja indirectly,na sasa wanapitia mlango wa nyuma hasa kwa kutumia umasikini wa watanzania....

na hawa GNLD ni watu gani hasa? mimi nawafahamu kama wasambaza madawa ya virutubisho........kuna agenda ya siri dhidi yao imejificha hapa??

kwa anayefahamu pliz atujuze hapa wale tusiofahamu...

the Magnificient!!

Hapa duniani hakuna pesa ya bure wala kitu chochote cha bure, lazima kazi ifanyike, tena kazi inayoeleweka. kila short cut ina madhara yake tena makubwa. Hawa jamaa,GNLD, Forever Living na wengineo wa aina hii kujiunga nao ni kujilisha upepo, they are not what they say they are! ninge kushauri, tafuta watu wenye roho wa Mungu, they will give you reliable answers. Hapa jf, asilimia kubwa wanatumia akili zao bila kuangalia the spiritual part of the matter in question which is very wrong.

Jamii ya wanadamu inateseka na taabu za ulimwengu huu leo, ni kwa kushindwa kuelewa spiritual implications za mambo mbalimbali ambayo wanaingia kwa sababu ya shida za dunia. Shida hazitakaa ziishe mpaka pale mtu anapo amua kumgeukia Mungu katika kristo Yesu na kumtumikia katika roho na kweli (in the spirit and truth). ni vema kufahamu kuwa dunia imejawa na jule Muovu, that means asilimia kubwa ya mambo yanayofanyika duniani ni uovu. Tazama hata iibukapo mijadala inayohusu Mungu na maajabu yake hapa jf, wengi hupinga na kutoa scientific suggestions na kusahau kumbe hata science has its spiritual realm.Jambo laweza kuonekana jema machoni pa mtu lakini (kiroho ni zaidi ya balaa,linaangamiza maisha na hata kizazi). Hivyo hakuna usalama kabisa chini ya jua bila nguvu ya Mungu, Ndipo Mungu akasema pasipo mimi ninyi hamuwezi neno lolote. Which is very right.

Hakuna jambo linalotokea chini ya jua kwa bahati mbaya, hata ndoto, kila ndoto ina maana yake na ujumbe wake, kila jambo huja kwa kusudi lake na kuwa na maana yake. Mara zote mambo yote yasiyo na connection na Mungu huwa ni ubatili (uovu) maani ni ya dunia.

Laiti kama mtu akimshirikisha Mungu aliye hai katika kila jambo, mambo yote, mtu huyo hatokaa akosee popote chini ya jua. Nakushauri engage the spirit (through prayers) you will have all the answers about anything you need. Maana Mungu ni mwaminifu. Watu hawata shauri vema siku zote maana wenye hekima ya Mungu ni wachache sana.
 
see no evil, hear no evil, speak no evil....Huna haja ya kusoma na kufuatilia maswala ya nguvu za giza kama we ni mtu wa Mungu. Ni kama kutaka kujua kila aina ya heka bandia kial siku wakati tayari ushaijua hela halali ikoje. Unavyowafuatilia hawa mafreemason ndivyo wanavyotawala mind yako. Muhimu ni kujitakasa na kumcha Mungu na si kuogopa products zao.
 
Prodact zao ni bomba wasiwasi wenu tu nunua bidhaa na tumia bidhaa zao majibu utayapata kuboresha afya yako
 
Yawezekana hata wewe huijui GNLD karibu kwenye mafunzo ujifunze uboreshe afya yako njoo ubungo plaza jumapili nitumie PM weka namba yako ya simu takupigia
 
Poleni sana wale mnao jadili kuhusu freemason na GNLD. Naifahamu gnld kitambo na imesaidia watu wengi kiafya,kilimo na mzingira yanayotuzunguka .Hudhuria mafunzo yanayotolewa kila siku sinza mori utagifunza mengi kwa faida ya afya yako.Natoa ushauri sisi nchi za dunia ya tatu tumegubikwa sana na neno freemason,tuachane nalo tufanye kazi, na mwisho karibuni kwenye semina ubungo plaza jumapili saa saba ukumbi wa bluu peal hotel mjifunze mengi kuhusu GNLD


Hapo kwenye red - ndio maana watu wengi wanaiitilia mashaka - hasa MIMI YATIMA - inakuwaje vikao vya Jumapili wakati watu wanahitajiwa pia kwenda kuabudu??? Nilikaribishwa sana na mtu mmoja lakini kigezo hicho kilinishinda - manake hapo ni kuchagua kati ya KUMWABUDU MUNGU NA SEMINA YA GNLD - priority ni ipi???

Hizo semina za Jumapili - na ikiwa kweli ni faida kusikiliza - kunavuta wanaoabudu Jumapili wamwache Mungu waende huko - why not on Saturdays??? :confused2:
 
[/color]hapo kwenye red - ndio maana watu wengi wanaiitilia mashaka - hasa mimi yatima - inakuwaje vikao vya jumapili wakati watu wanahitajiwa pia kwenda kuabudu??? Nilikaribishwa sana na mtu mmoja lakini kigezo hicho kilinishinda - manake hapo ni kuchagua kati ya kumwabudu mungu na semina ya gnld - priority ni ipi???

Hizo semina za jumapili - na ikiwa kweli ni faida kusikiliza - kunavuta wanaoabudu jumapili wamwache mungu waende huko - why not on
saturdays??? :confused2:

hapo kwenye blue, jaribu kuheshimu dini za wengine... Katika siku zooote za wiki umeona saturday ndo siku huru ya kufanya hizo semina zenu.

jitahidi kuwa mstaarabu!
 
vp uhusiano kati ya shaaban robert secondary na freemasons?

Well, mwenyekiti wa freemason east africa JK CHANDE anahusika na Shaaban robert sec na hata HaLL la shebby lina jina la uyo babu !! More abt him, kuna kitab chake pale pale library ya shule !!
 
Hapa duniani hakuna pesa ya bure wala kitu chochote cha bure, lazima kazi ifanyike, tena kazi inayoeleweka. kila short cut ina madhara yake tena makubwa. Hawa jamaa,GNLD, Forever Living na wengineo wa aina hii kujiunga nao ni kujilisha upepo, they are not what they say they are! ninge kushauri, tafuta watu wenye roho wa Mungu, they will give you reliable answers. Hapa jf, asilimia kubwa wanatumia akili zao bila kuangalia the spiritual part of the matter in question which is very wrong.

Jamii ya wanadamu inateseka na taabu za ulimwengu huu leo, ni kwa kushindwa kuelewa spiritual implications za mambo mbalimbali ambayo wanaingia kwa sababu ya shida za dunia. Shida hazitakaa ziishe mpaka pale mtu anapo amua kumgeukia Mungu katika kristo Yesu na kumtumikia katika roho na kweli (in the spirit and truth). ni vema kufahamu kuwa dunia imejawa na jule Muovu, that means asilimia kubwa ya mambo yanayofanyika duniani ni uovu. Tazama hata iibukapo mijadala inayohusu Mungu na maajabu yake hapa jf, wengi hupinga na kutoa scientific suggestions na kusahau kumbe hata science has its spiritual realm.Jambo laweza kuonekana jema machoni pa mtu lakini (kiroho ni zaidi ya balaa,linaangamiza maisha na hata kizazi). Hivyo hakuna usalama kabisa chini ya jua bila nguvu ya Mungu, Ndipo Mungu akasema pasipo mimi ninyi hamuwezi neno lolote. Which is very right.

Hakuna jambo linalotokea chini ya jua kwa bahati mbaya, hata ndoto, kila ndoto ina maana yake na ujumbe wake, kila jambo huja kwa kusudi lake na kuwa na maana yake. Mara zote mambo yote yasiyo na connection na Mungu huwa ni ubatili (uovu) maani ni ya dunia.

Laiti kama mtu akimshirikisha Mungu aliye hai katika kila jambo, mambo yote, mtu huyo hatokaa akosee popote chini ya jua. Nakushauri engage the spirit (through prayers) you will have all the answers about anything you need. Maana Mungu ni mwaminifu. Watu hawata shauri vema siku zote maana wenye hekima ya Mungu ni wachache sana.
ukweli mtupu umeongea, kwanza ni aibu kwa mkristo kuongelea sana hilo jina sijui p free nini eti?
Tuna jina lipitayo majina yote nalo ni jina la YESU ndio tunapaswa kuliongelea.







0
 
Sasa hivi kila kitu
freemasons watu wataogopa kufanya mambo yao ya maana kwa kuhofia kuitwa
freemasons, halafu kuwatajataja ndo mnazidi kuwajengea umaarufu na watu
wanashikwa shauku ya kujua nini kinaendelea. wewe shika sana ulichonacho
na imani yako( Devil at work)

Ushamba tu wa watu tz...hii takataka ipo siku nyingi tu, ila sie wabongo tunavyoishadadia! Ni kama vile Mungu hawezi kumuinua mtu!
Kila anaeinuka, fremwasoni! Ujinga huu!
 
Mimi ni nilijiunga na Freemason tangu mwaka 1988. Kiukweli sisi hatuna uhusiano na hawa jamaa GNLD na wala hatutaki watu watuhusishe nao maana mambo yetu na ya kwao ni tofauti na kwa kawaida hayaingiliani wala hatualikani kwenye dhifa zetu. Mimi nawashangaa watu wengi wanatuongelea bila kutufahamu kwa undani wetu lakini uzuri kwa wale wanaopata fursa ya kutufahamu hujiunga na sisi na kumbukumbu zinaonesha hakuna wanaoomba kujitoa Freemasons bali wengi wanazidi kujiunga. Nawakaribisha wanaohitaji kujiunga. Huku mambo poa.
 
Mimi ni nilijiunga na Freemason tangu mwaka 1988. Kiukweli sisi hatuna uhusiano na hawa jamaa GNLD na wala hatutaki watu watuhusishe nao maana mambo yetu na ya kwao ni tofauti na kwa kawaida hayaingiliani wala hatualikani kwenye dhifa zetu. Mimi nawashangaa watu wengi wanatuongelea bila kutufahamu kwa undani wetu lakini uzuri kwa wale wanaopata fursa ya kutufahamu hujiunga na sisi na kumbukumbu zinaonesha hakuna wanaoomba kujitoa Freemasons bali wengi wanazidi kujiunga. Nawakaribisha wanaohitaji kujiunga. Huku mambo poa.
umeongea cha maana sana hata kama unatania kila m2 asimame kwenye iman yake
 
Achana na mambo ya Freemason tulijadili hi

600189_4051900580335_1818317936_n.jpg
 
Kunja uhusiano wowote kati ya chuo kikuu cha dar es salaam na freemasons??
 
Back
Top Bottom