Kuna uhitaji wa kuwa na kondakta katika mabasi ya mwendokasi!!

barafuyamoto

JF-Expert Member
Jul 26, 2014
32,322
29,583
Habari zenu!

Moja kwa moja ktk mada, nafikiri uongozi wa udart, wanaoendesha mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) yanahitaji kuwa na konda ndani, lengo kubwa la konda sio kukusanya nauli hapa, bali kupanga watu ndani.

Haiwezekani watu mnasubiri mabasi kwa dk kadhaa linakuja basi linaonekana limejaa full kumbe abiria % kubwa wamekushanyana mlangoni ilhali katikati kuna nafasi kubwa tu ambayo kama wangesogea basi abiria wengine wengi tu wangepanda na kuwahi waendako. Kibaya ni pale uliepo nje unawaambia waliomo ndani wasogee ila wankikodolea tu macho bila kusogea ila na wewe ukiingia badala ya kuwasogeza kituo kinachofuata abiria wa nje wanakwambieni segeeni ila na wewe raundi hii unawakodolea tu macho waliopo nje bila kusogea!

Mfumo wetu wa kimaisha umetuathiri sana, bila kusukumwa ni vigumu sana kufanya mambo kwa ufasaha! Tubadilike watanzania ktk vitu vya msingi, tusiwe wa kusukumwa sukumwa tu!!
 
sasa huoni hao makonda watakua wanajaza nafasi tena au wao ni spaceless??
suala la kupangana liko ndani ya abiria we ukiona wamejaa ingia ndani ukakae huko katikati
Unapita wapi gari inasimama sekunde 20 na hawataki hata kusogeza kucha??
 
Habari zenu!

Moja kwa moja ktk mada, nafikiri uongozi wa udart, wanaoendesha mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) yanahitaji kuwa na konda ndani, lengo kubwa la konda sio kukusanya nauli hapa, bali kupanga watu ndani.

Haiwezekani watu mnasubiri mabasi kwa dk kadhaa linakuja basi linaonekana limejaa full kumbe abiria % kubwa wamekushanyana mlangoni ilhali katikati kuna nafasi kubwa tu ambayo kama wangesogea basi abiria wengine wengi tu wangepanda na kuwahi waendako. Kibaya ni pale uliepo nje unawaambia waliomo ndani wasogee ila wankikodolea tu macho bila kusogea ila na wewe ukiingia badala ya kuwasogeza kituo kinachofuata abiria wa nje wanakwambieni segeeni ila na wewe raundi hii unawakodolea tu macho waliopo nje bila kusogea!

Mfumo wetu wa kimaisha umetuathiri sana, bila kusukumwa ni vigumu sana kufanya mambo kwa ufasaha! Tubadilike watanzania ktk vitu vya msingi, tusiwe wa kusukumwa sukumwa tu!!
Inaanza na wewe
 
Unapita wapi gari inasimama sekunde 20 na hawataki hata kusogeza kucha??
PROBLEM SOLVED!!!!
waongeze muda wa kukaa kituoni badala ya hizo sekunde 20 iwe hata dakika mbili maana hata hao wanaosimama mlangoni wanaogopa kupitilizwa vituo
 
PROBLEM SOLVED!!!!
waongeze muda wa kukaa kituoni badala ya hizo sekunde 20 iwe hata dakika mbili maana hata hao wanaosimama mlangoni wanaogopa kupitilizwa vituo
Mtu anapanda kimara anashuka magomeni, anaogopa nini kusogea kati??!! Ni mfumo wetu mbovu tu.
 
Mitanzania ni mijitu ya ajabu kweli yani...haswa ile mibonge,yani unakuta jitu lina limwili likubwaa mpaka linashindwa kupita mlangoni.
Nawachukia watanzania
[HASHTAG]#Damn[/HASHTAG] !
 
Habari zenu!

Moja kwa moja ktk mada, nafikiri uongozi wa udart, wanaoendesha mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) yanahitaji kuwa na konda ndani, lengo kubwa la konda sio kukusanya nauli hapa, bali kupanga watu ndani.

Haiwezekani watu mnasubiri mabasi kwa dk kadhaa linakuja basi linaonekana limejaa full kumbe abiria % kubwa wamekushanyana mlangoni ilhali katikati kuna nafasi kubwa tu ambayo kama wangesogea basi abiria wengine wengi tu wangepanda na kuwahi waendako. Kibaya ni pale uliepo nje unawaambia waliomo ndani wasogee ila wankikodolea tu macho bila kusogea ila na wewe ukiingia badala ya kuwasogeza kituo kinachofuata abiria wa nje wanakwambieni segeeni ila na wewe raundi hii unawakodolea tu macho waliopo nje bila kusogea!

Mfumo wetu wa kimaisha umetuathiri sana, bila kusukumwa ni vigumu sana kufanya mambo kwa ufasaha! Tubadilike watanzania ktk vitu vya msingi, tusiwe wa kusukumwa sukumwa tu!!
Tatizo waTZ hatujazoea kujisimamia, hadi kupangana kwenye bus tusimamiwe!!!???????
 
Habari zenu!

Moja kwa moja ktk mada, nafikiri uongozi wa udart, wanaoendesha mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) yanahitaji kuwa na konda ndani, lengo kubwa la konda sio kukusanya nauli hapa, bali kupanga watu ndani.

Haiwezekani watu mnasubiri mabasi kwa dk kadhaa linakuja basi linaonekana limejaa full kumbe abiria % kubwa wamekushanyana mlangoni ilhali katikati kuna nafasi kubwa tu ambayo kama wangesogea basi abiria wengine wengi tu wangepanda na kuwahi waendako. Kibaya ni pale uliepo nje unawaambia waliomo ndani wasogee ila wankikodolea tu macho bila kusogea ila na wewe ukiingia badala ya kuwasogeza kituo kinachofuata abiria wa nje wanakwambieni segeeni ila na wewe raundi hii unawakodolea tu macho waliopo nje bila kusogea!

Mfumo wetu wa kimaisha umetuathiri sana, bila kusukumwa ni vigumu sana kufanya mambo kwa ufasaha! Tubadilike watanzania ktk vitu vya msingi, tusiwe wa kusukumwa sukumwa tu!!
Mazoea mabaya umezoea kusukumwa na kupangwa kwenye madaladala. duniani kote ndani ya magari hayo hakuna makonda. Tena dereva alipaswa kuhakikieha kuwa watu watu wenye mahitaji maalumu anawahudumia na hata mfumo wa ulipaji nauli ulipaswa kufungwa ndani ya mabasi hayo na dereva angetakiwa kuuhudumia pia
 
Mazoea mabaya umezoea kusukumwa na kupangwa kwenye madaladala. duniani kote ndani ya magari hayo hakuna makonda. Tena dereva alipaswa kuhakikieha kuwa watu watu wenye mahitaji maalumu anawahudumia na hata mfumo wa ulipaji nauli ulipaswa kufungwa ndani ya mabasi hayo na dereva angetakiwa kuuhudumia pia
Sawa ila ndo imeshindikana kwa sasa, kama unatumia haya mabasi we ni shahidi! Mrundikano milangoni ilhali kuna nafasi kati.
 
Back
Top Bottom