Kuna uhalifu Makonda anapanga kuutekeleza?

Vawulence

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
1,930
2,118
Nimesikia kuwa Makonda katangaza awamu ya tatu iko tayari kesho saa nne.
Nimejiuliza maswali mengi na kuishia kujiuliza kuwa huyu bwana kuna uhalifu mkubwa anapanga?

1. Tumeona watu wakikaguliwa mpaka nyumbani kwao. je, huu sio mpango wa maandalizi ya kuingia kwao kirahisi?
2. Tumeona watu wakiitwa bila utaratibu...je sio mbinu ya Makonda kujiweka mbali na kuwajibika ikiwa lolote litawapata hao watu wakiwa mikononi mwa polisi?
3. Kuanza kuwataja watumiaji wadogo na kisha wanaosemwasemwa (hana uhakika) haiwezi kuwa mbinu tu ya kutuzubaisha huku dili kubwa linapigwa mahali na washikaji zake?
 
c01299c44f4ff273c8f144ecb7c4e135.jpg
 
Nimesikia kuwa Makonda katangaza awamu ya tatu iko tayari kesho saa nne.
nimejiuliza maswali mengi na kuishia kujiuliza kuwa huyu bwana kuna uhalifu mkubwa anapanga ?
1. Tumeona watu wakikaguliwa mpaka nyumbani kwao. je, huu sio mpango wa maandalizi ya kuingia kwao kirahisi?
2. tumeona watu wakiitwa bila utaratibu...je sio mbinu ya Makonda kujiweka mbali na kuwajibika ikiwa lolote litawapata hao watu wakiwa mikononi mwa polisi?
3. kuanza kuwataja watumiaji wadogo na kisha wanaosemwasemwa (hana uhakika) haiwezi kuwa mbinu tu ya kutuzubaisha huku dili kubwa linapigwa mahali na washikaji zake?

Hiyo namba 3 kwa Serikali ya Awamu hii ya tatu sahau kabisa na halitawezekana kwani hakuna ambacho Kiongozi yoyote yule unayemjua Wewe hapa nchini hadi huko kwa Mabalozi wetu ' hawadukuliwi ' na akina ' Kaunda Suit ' 24/7 na kila mmoja kila siku faili lake lazima lijazwe kuanzia Utendaji wake, maadili yake na mienendo yake chanya na hasi. Na nikuhakikishie tu Mkuu amini haya maneno yangu kama kweli RC Makonda anasemwa kuwa ana utajiri wa kutisha na sijui alisafirishwa na nani wenye Kazi yao akina ' Kaunda Suit ' wangejua kabla yenu ila bahati nzuri hata faili lake inasemekana halina hayo ' makandokando ' mnayosema na imegundulika tu kuwa mnamsingizia kwa ' wivu ' wenu tu kwakuwa anakubalika na kuaminika sana na Commander in Chief wa Tanzania. Kama kuna Kipindi ambacho nchi yetu inalindwa na inalindika vizuri katika kila nyanja zote basi ni awamu hii ya 5 na ndiyo maana hadi sasa tunafurahia amani yetu bila ' tishio ' la ' mwendawazimu ' yoyote yule.
 
Hiyo namba 3 kwa Serikali ya Awamu hii ya tatu sahau kabisa na halitawezekana kwani hakuna ambacho Kiongozi yoyote yule unayemjua Wewe hapa nchini hadi huko kwa Mabalozi wetu ' hawadukuliwi ' na akina ' Kaunda Suit ' 24/7 na kila mmoja kila siku faili lake lazima lijazwe kuanzia Utendaji wake, maadili yake na mienendo yake chanya na hasi. Na nikuhakikishie tu Mkuu amini haya maneno yangu kama kweli RC Makonda anasemwa kuwa ana utajiri wa kutisha na sijui alisafirishwa na nani wenye Kazi yao akina ' Kaunda Suit ' wangejua kabla yenu ila bahati nzuri hata faili lake inasemekana halina hayo ' makandokando ' mnayosema na imegundulika tu kuwa mnamsingizia kwa ' wivu ' wenu tu kwakuwa anakubalika na kuaminika sana na Commander in Chief wa Tanzania. Kama kuna Kipindi ambacho nchi yetu inalindwa na inalindika vizuri katika kila nyanja zote basi ni awamu hii ya 5 na ndiyo maana hadi sasa tunafurahia amani yetu bila ' tishio ' la ' mwendawazimu ' yoyote yule.

Asante mkuu!
 
Kesho tunatangaza awamu ingine, wabunge mkae macho!

Halafu kuna sheria mliipitisha kwa style yenu ile ya ndiooooooo, naona ina wakaanga hiyo, natafuta niijue content
 
waza tu, sisi tunasonga mbele

kama una tuhuma, fungua kesi acha blah blah
Sina tuhuma ila Makonder ndie aliyewatuhumu kina TID,Tunda,Wema,Petit Man,Gwajima,Manji,Chid Benz nk kuwa wabeba au watumia unga.
Tunashukuru amefanikisha kukamata msokoto wa bangi na Rizzla! Sio haba
 
nina uhakika utakuwa dissapointed mkuu.....kesho watatajwa wabunge wengi tu
Wabunge wa Dar es salaam. Labda hata wafanyabiashara wakubwa wa Dar watatajwa.

Huyu dogo ana baraka ya "baba" yetu ndo hakuna wa kumuwekea gavana. Kama anaendelea na style ile ile hata ya kupata funzo toka kwa Said Meck Sadiq na wabunge mbalimba, nina wasi wasi na uwezo wake wa kufikiri! Pia naamini ana agenda ya siri ambayo labda mingine anayejua ni "dingi".

Mimi yangu macho na masikio!
 
Sizani kama msukuma atakosa kwenye iyo list ya kesho. Tusubili sehemu ya tatu
 
Sina tuhuma ila Makonder ndie aliyewatuhumu kina TID,Tunda,Wema,Petit Man,Gwajima,Manji,Chid Benz nk kuwa wabeba au watumia unga.
Tunashukuru amefanikisha kukamata msokoto wa bangi na Rizzla! Sio haba

si wamekiri mkuu! na wakasema hawatumii tena??

hapo vipi?
 
Hiyo namba 3 kwa Serikali ya Awamu hii ya tatu sahau kabisa na halitawezekana kwani hakuna ambacho Kiongozi yoyote yule unayemjua Wewe hapa nchini hadi huko kwa Mabalozi wetu ' hawadukuliwi ' na akina ' Kaunda Suit ' 24/7 na kila mmoja kila siku faili lake lazima lijazwe kuanzia Utendaji wake, maadili yake na mienendo yake chanya na hasi. Na nikuhakikishie tu Mkuu amini haya maneno yangu kama kweli RC Makonda anasemwa kuwa ana utajiri wa kutisha na sijui alisafirishwa na nani wenye Kazi yao akina ' Kaunda Suit ' wangejua kabla yenu ila bahati nzuri hata faili lake inasemekana halina hayo ' makandokando ' mnayosema na imegundulika tu kuwa mnamsingizia kwa ' wivu ' wenu tu kwakuwa anakubalika na kuaminika sana na Commander in Chief wa Tanzania. Kama kuna Kipindi ambacho nchi yetu inalindwa na inalindika vizuri katika kila nyanja zote basi ni awamu hii ya 5 na ndiyo maana hadi sasa tunafurahia amani yetu bila ' tishio ' la ' mwendawazimu ' yoyote yule.

Ni kwa kiwango gani unawaamini hao wajaza faili, Kaunda Suiti maana ndio wapiga dili wakubwa!
 
Back
Top Bottom