Inawezekana kweli majina yana athiri undani wa mtu...Jina Mkumbo haliwezi kumuacha salama.Sina muda wa kupoteza kwa Mkumbo.
Tulipewa mamlaka ya kuvipa viumbe majina na vibebe sifa ya majina hayo.
Mkuu hebu tusaidie zaidi ktk hili kwa kiimani zaidi. Una madini mengi sana na unaweza kutusaidia vizazi na vizazi kwa somo hili.Ktk biblia mwanamke Abigail alimtetea yule jamaa mbele ya mfalme kuwa asihukumiwe vibaya kwa upumbafu alioufanya kwa kuwa unatokana na jina lake.
Lakini pia Mungu alimwamuru Adamu kuwapa viumbe wote majina na kila kiumbe abebe sifa ya jina lake.Mamlaka ya Adamu bado tunayo kama uzao wa Adamu.Mungu humbadili mtu jina ikiwa anataka kumtumia ktk kazi za kiroho
Mf.Wewe hutaitwa Abram bali Abrahamu means baba ya mataifa yote.
Wewe hutaitwa Sarai but Sarah means mama wa wote.
Wewe hutaitwa Yakobo bali Israel means Mungu hupigana.
Wewe utaitwa Yusuph means niongezee tena.
Wewe utaitwa Beersheba means kisima cha kiapo.
Wewe utaitwa Eseki means mgomvi.
Wewe utaitwa Yakobo means mdanganyifu.
Wewe ni Bethel means nyumba ya Mungu.
Wewe ni Simoni means Mungu husikia.
Utaitwa Peniel means uso huu ni wa Mungu.
Ni vema kuondoa majina yote yasiyo na utukufu wa Mungu maishani mwako kwa kuwa yaweza kuwa ndiyo chanzo cha wewe kuwa hivyo ulivyo,kutofanikiwa,balaa ktk biashara na mengineyo.
Ndiyo maana ya ubatizo na majina mapya.
Mungu anatuonesha Magugu halisi na ni wkt mzuri wa sisi kuyajua. Huko mbele tutakuwa na kazi moja tu ya kuvuna ngano na kukata/kuyachoma moto magugu.Wazazi tuweni makini sana na majina tunayowapa watoto wetu, kuna majina mengine siyo kabisa.
Ukimwangalia PROF.MKUMBO, Yeye kila kitu huwa anakumbwakumbwa tu hata bila kujielewa.
Uprofesa wake ni kwa ajiri ya kusoma MAKARATASI TUU.
Unamaanisha prof. au?Mkumbooooo...
Amina. Ubarikiwe sana.Amina Mtumishi wa Bwana
Anampenda mungu wa baali na sio Mungu wa Eliya...Professor Kitila Mkumbo kawa mshauri wa KKKT.
Jaribu kufanya biashara na mtu aitwaye Yakobo/Jacob ikiwa utafanikiwa bila kulizwa ni nadra sana zaidi atakuwa akinufaika yeye tu.Hiyo ni andiko lenye mhuri wa kiroho never change.Mkuu hebu tusaidie zaidi ktk hili kwa kiimani zaidi. Una madini mengi sana na unaweza kutusaidia vizazi na vizazi kwa somo hili.
Amen, very short and clear!.Natanguliza salamu.
Kama ningekuwa mimi ndiye Askofu F. Shoo, ningemjibu hivi baada ya kupokea maoni yake juu ya waraka wa maaskofu KKKT.
JIBU:
Ndg Muumini,
Prof. Kitila Mkumbo,
"Ni wkt wa Mungu kuwaonesha watu wake ipi ni ngano na yapi ni magugu"
Pumzi ya Mungu ktk neno la kuonya huchoma sana na tarajia itachoma zaidi"
Amani ya Bwana iwe nawe. Amina.
K.n.y
......
Kasome biblia mwanzo 20:24 uone jinsi ambavyo Rahel alitaabika kupata mtoto lakini alipobahatika kuzaa akampa jina Yusufu akimaanisha Nipate tena.Hivyo ukipanga kuzaa mtoto kitinda mimba ukampa jina Yusufu ujue utazaa tena.Hakuna Yusufu wa mwisho asipozaa mkeo wewe utazaa nje tu.Mkuu hebu tusaidie zaidi ktk hili kwa kiimani zaidi. Una madini mengi sana na unaweza kutusaidia vizazi na vizazi kwa somo hili.
Nafarijika sana. Maana mimi ni miongoni mwa watu ninaopenda scriptures hizi ambazo moja kwa moja zina control kanuni za maisha.Kasome biblia mwanzo 20:24 uone jinsi ambavyo Rahel alitaabika kupata mtoto lakini alipobahatika kuzaa akampa jina Yusufu akimaanisha Nipate tena.Hivyo ukipanga kuzaa mtoto kitinda mimba ukampa jina Yusufu ujue utazaa tena.Hakuna Yusufu wa mwisho asipozaa mkeo wewe utazaa nje tu.
Kasome biblia mwanzo 20:24 uone jinsi ambavyo Rahel alitaabika kupata mtoto lakini alipobahatika kuzaa akampa jina Yusufu akimaanisha Nipate tena.Hivyo ukipanga kuzaa mtoto kitinda mimba ukampa jina Yusufu ujue utazaa tena.Hakuna Yusufu wa mwisho asipozaa mkeo wewe utazaa nje tu.
Pangua hoja za Kitila Mkumbo badala ya kumshambulia binafsiMkuu Kitila nashindwa kujua ulijituma au ulitumwa? Lakini jitahidi kujiangalia nyuma kabla ya kukubali utumwa...
Nafarijika sana. Maana mimi ni miongoni mwa watu ninaopenda scriptures hizi ambazo moja kwa moja zina control kanuni za maisha.