mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,967
- Thread starter
- #121
Muda huu nipo FOREST YA ZAMAN maeneo ya check point. Karibu na mahakama kuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda huu nipo FOREST YA ZAMAN maeneo ya check point. Karibu na mahakama kuu
Ungeishia tu forest ya zamani ningekwambia Jirani na mahakama kuu,na Mzumbe,kuna Ka club zamani kalikuwa kanaitwa vibe bado kapo?Ukinyoosha na road hiyo unatokea stand kadegheMuda huu nipo FOREST YA ZAMAN maeneo ya check point. Karibu na mahakama kuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kale wamekafunga kwa Sasa.Ungeishia tu forest ya zamani ningekwambia Jirani na mahakama kuu,na Mzumbe,kuna Ka club zamani kalikuwa kanaitwa vibe bado kapo?Ukinyoosha na road hiyo unatokea stand kadeghe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok Sawa,daa nimemiis chips mshikaki za mitaa hiyo!!!mpaka mbeya CarnivalKale wamekafunga kwa Sasa.
Mara panafunguliwa Mara panafungwa.
Uchumi tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Achee karibu Sana mkuuOk Sawa,daa nimemiis chips mshikaki za mitaa hiyo!!!mpaka mbeya Carnival
Sent using Jamii Forums mobile app
FromAchee karibu Sana mkuu
Mimi nipo huku kwa Sasa Nina mwaka wa 3 kikazi.
Mi Wakuja tu huku
Ntarudi zangu bushi
Sent using Jamii Forums mobile app
Enjoy sn hapo mahala.Maisha simple simple tu.Tofauti na huku.Me nimeishi Uyole,mama john, Iyunga na Mbalizi ndo home kabisaAchee karibu Sana mkuu
Mimi nipo huku kwa Sasa Nina mwaka wa 3 kikazi.
Mi Wakuja tu huku
Ntarudi zangu bushi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulikula?Jambo.
Mzee wa kasumba nipo safarini naelekea MWANZA natoka MBEYA.
Jirani yangu hapa ni mtoto mkali flani hivi. Uzalendo ukanishinda ikabidi nimtupie swaga. Baada ya mikiki mikiki kidogo hatimaye vocal zikaeleweka.
Sasa basi---_
Magari haya ya MBEYA - MWANAUME huwa yanalala njiani sehemu iitwayo IGUNGA. hapo tumepanga kwenda kubomoana Kisha asubuhi tunaendelea na Safari.
Swali:_ kwa
Wanasayansi/wahenga/waganga/wanajimu/wachungaji nk
Je kuna ubaya wowote kumgegeda mwanamke safarini???
Asanteni.
CC: Zero Iq
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaaaa[emoji38]Mkuu ulikula?
😂 😂Haswaaaaa[emoji38]