mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Jambo.
Mzee wa kasumba nipo safarini naelekea MWANZA natoka MBEYA.
Jirani yangu hapa ni mtoto mkali flani hivi. Uzalendo ukanishinda ikabidi nimtupie swaga. Baada ya mikiki mikiki kidogo hatimaye vocal zikaeleweka.
Sasa basi---_
Magari haya ya MBEYA - MWANAUME huwa yanalala njiani sehemu iitwayo IGUNGA. hapo tumepanga kwenda kubomoana Kisha asubuhi tunaendelea na Safari.
Swali:_ kwa
Wanasayansi/wahenga/waganga/wanajimu/wachungaji nk
Je kuna ubaya wowote kumgegeda mwanamke safarini???
Asanteni.
CC: Zero Iq
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa kasumba nipo safarini naelekea MWANZA natoka MBEYA.
Jirani yangu hapa ni mtoto mkali flani hivi. Uzalendo ukanishinda ikabidi nimtupie swaga. Baada ya mikiki mikiki kidogo hatimaye vocal zikaeleweka.
Sasa basi---_
Magari haya ya MBEYA - MWANAUME huwa yanalala njiani sehemu iitwayo IGUNGA. hapo tumepanga kwenda kubomoana Kisha asubuhi tunaendelea na Safari.
Swali:_ kwa
Wanasayansi/wahenga/waganga/wanajimu/wachungaji nk
Je kuna ubaya wowote kumgegeda mwanamke safarini???
Asanteni.
CC: Zero Iq
Sent using Jamii Forums mobile app