Kuna tofauti gani kuchoma sindano mkononi na kalioni

mkononi ni kuharakisha dawa iwahi kufanya kazi sababu ni moja kwa moja kwenye mishipa ya damu.takoni dawa huaanza kufanya kazi taratibu.kwa jinsi nnavyoelewa mimi...

ila cha ajabu kuna sindano unachomwa mkononi lakini nesi anakuwa anaiskilizia sana anaeza kwenda kunywa chai akarudi akaminya dawa tena kidogo.kwanini asingeichoma takoni tuu
 
mkononi ni kuharakisha dawa iwahi kufanya kazi sababu ni moja kwa moja kwenye mishipa ya damu.takoni dawa huaanza kufanya kazi taratibu.kwa jinsi nnavyoelewa mimi...

ila cha ajabu kuna sindano unachomwa mkononi lakini nesi anakuwa anaiskilizia sana anaeza kwenda kunywa chai akarudi akaminya dawa tena kidogo.kwanini asingeichoma takoni tuu
Wanasema hiyo sindano ya mkononi inatakiwa kusukumwa taratibu maana akisukuma yote kwa Mara moja inaweza kukuletea mshutko kwenye moyo.
 
mkononi ni kuharakisha dawa iwahi kufanya kazi sababu ni moja kwa moja kwenye mishipa ya damu.takoni dawa huaanza kufanya kazi taratibu.kwa jinsi nnavyoelewa mimi...

ila cha ajabu kuna sindano unachomwa mkononi lakini nesi anakuwa anaiskilizia sana anaeza kwenda kunywa chai akarudi akaminya dawa tena kidogo.kwanini asingeichoma takoni tuu
Duh aisee noma
 
1- Inategemeana na sindano, zingne ni kwa ajili ya sehemu ya Msuli tu kama makalioni na mapajani na zingine ni kwa ajili ya mshipani tu na zingne zinaweza tolewa kote yani mshipani au msulini.

2- Ufanyaji kazi: dawa hufanya kazi haraka zaidi ikiwekwa kwenye msuli lakini pia huwahi zaidi kuisha nguvu kinyume chake kwenye msuli.
3- Upatikanaji wa mshipa: Inawezekana dawa yaweza kuchomwa mshipani lakini kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuokoa muda huwa zinachomwa msulini.

Zingne wataongeza wadau
 
Wanasema hiyo sindano ya mkononi inatakiwa kusukumwa taratibu maana akisukuma yote kwa Mara moja inaweza kukuletea mshutko kwenye moyo.
Ni baadhi ya dawa ambazo huhitajika kuwekwa taratibu kutokana na inavyofanya kazi mwilin, na side effects zake kwenye Moyo.
Mf dawa ya powercef/ceftriaxone ikiwekwa haraka huleta kichefuchefu na kutapika.
 
Sindano ya kalio inabidi nesi awe na shabaha sana manake ikikosewa inaweza kuleta madhara makubwa ikiwemo kukatikia takoni
 
I
Habari, mara kadhaa unaweza kumuona tabibu akimchoma sindano mgonjwa kalioni, Mara nyingine Humchoma Mkononi, Kuna tofauti gani ya sindano hizo
Inategeamao na ako na hasira kiasi gani kwa time hio! Kama ni salary fresh days atachoma hata kwa kidole
 
Bangi ina madhara Kwa AFYA ya AKILI yako
No O plus wacha urongo
Screenshot_20210511-102810.jpg
 
Back
Top Bottom