Kuna tofauti gani kati ya Writer, Author na Auditor?

Kuna tofauti gani kati ya Writer, Author na Auditor?

Writter ni mwandishi ... kama wew ulivyoandika hii thread hapa.....

Author ni mwandishi/ mtunzi wa vitabu au makala....

Auditor ni mkaguzi anaweza kuwa ni internal au extenal auditor

mengine ongezea
 
Ah, Komandoo Es, the high level of discourse you bring to the forum....

Like I said, it's wonderful to have the whole gang of you Here

Asante kwa kunikosoa nilimaanisha Editor not auditor
 
Writer ni mwandishi, author ni mtunzi na editor mhariri, publisher ni mchapaji na producer mzalishaji
 
Tofauti ya writter, author na auditor.

kunatofauti kubwa sana katika maneno hayo matatu. Nitajaribu kukufafanulia chronologically:

Author ni mtu ambaye wazo la kazi fulani limeoriginate kwake. kwa mfano wewe unaweza ukawa na wazo la kitabu fulani ukiwa umefikiria vitu vyote kuanzia wahusika, settings n.k yaani kila kitu mwanzo mpaka mwisho, sasa wewe ni author wa hicho kitabu.

Writer ni mtu ambaye ameliweka lile wazo la author katika maandishi, ikiwemo kulipangilia kwa mtiririko na muundo sahihi ili liweze kuleta maana sawa na inayoeleweka vizuri kwa wasomaji (au wangalia sinema)

editor ni mtu ambaye anafanya mapitio ya kazi iliyofanywa na writer ili kusahihisha makosa kama yapo na kutoa ushauri wa mabadiliko anapoona inafaa..kwa upande wa vitabu inaweza ikawa makosa ya kifasihi, kisarufi n.k.
huyu anaweza kuabaini makosa kama mpangilio wa sentensi na vitu vingine trivial kama vile kosa la kuandika mwaka 2051 badala ya 2015 na kadhalika

Point 1:
author anaweza kuwa na kipaji cha kutunga lakini sio mzuri kwa uandishi so atapeleka wazo lake kwa mwandishi mtaalamu.

Point 2:
mwandishi baada ya kumaliza kazi yake anaweza peleka kazi kwa Editor ili aipitie na kuhakiki ubora pamoja na kufanya/kussugest marekebisho

Point 3
Kuna watu wenye kipaji cha kufanya yote hayo matatu ingawa to be on the safer side unashauriwa usiedit kazi yako mwenyewe au ukishaiedit basi tafuta mtu mwingine afanye mapitio
 
kunatofauti kubwa sana katika maneno hayo matatu. Nitajaribu kukufafanulia chronologically:

Author ni mtu ambaye wazo la kazi fulani limeoriginate kwake. kwa mfano wewe unaweza ukawa na wazo la kitabu fulani ukiwa umefikiria vitu vyote kuanzia wahusika, settings n.k yaani kila kitu mwanzo mpaka mwisho, sasa wewe ni author wa hicho kitabu.

Writer ni mtu ambaye ameliweka lile wazo la author katika maandishi, ikiwemo kulipangilia kwa mtiririko na muundo sahihi ili liweze kuleta maana sawa na inayoeleweka vizuri kwa wasomaji (au wangalia sinema)

editor ni mtu ambaye anafanya mapitio ya kazi iliyofanywa na writer ili kusahihisha makosa kama yapo na kutoa ushauri wa mabadiliko anapoona inafaa..kwa upande wa vitabu inaweza ikawa makosa ya kifasihi, kisarufi n.k.
huyu anaweza kuabaini makosa kama mpangilio wa sentensi na vitu vingine trivial kama vile kosa la kuandika mwaka 2051 badala ya 2015 na kadhalika

Point 1:
author anaweza kuwa na kipaji cha kutunga lakini sio mzuri kwa uandishi so atapeleka wazo lake kwa mwandishi mtaalamu.

Point 2:
mwandishi baada ya kumaliza kazi yake anaweza peleka kazi kwa Editor ili aipitie na kuhakiki ubora pamoja na kufanya/kussugest marekebisho

Point 3
Kuna watu wenye kipaji cha kufanya yote hayo matatu ingawa to be on the safer side unashauriwa usiedit kazi yako mwenyewe au ukishaiedit basi tafuta mtu mwingine afanye mapitio

Uzidi kubarikiwa ndugu
 
writer - mwandishi
author - mtunzi/ mwandishi wa vitabu
editor - mhariri
~
Hili la mwisho haliingiani na uandishi nadhani ulikusudia kusema 'editor'
auditor - mkaguzi wa hisabu
 
Back
Top Bottom