Kuna tofauti gani kati ya Physics na Metaphysics?

Kuna tofauti gani kati ya Physics na Metaphysics?

The golden

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2018
Posts
1,383
Reaction score
2,586
Naomba wajuzi wa hizi taaluma watueleze utofauti wake.

Kwa nini Metaphysics haifundishwi katika mfumo wetu wa elimu ya msingi hasa elimu ya sekondari ,kama ilivyo Physics.

Ninafahamu kuwa Metaphysics ni taaluma pana, inayohusisha Ontology, Epistemology na Logic. Nina fahamu siyo rahisi kufundisha yote haya kwenye mfumo wa sekondari.

Kwa nini hata basics zake hazifundishwi?. Au Metaphysics ni forbidden knowledge?
 
Simple tu: Metaphysics ina 'Meta' ♾️ ndani yake wakati Physics haina.
 
Hili ni tawi katika matawi ya Falsafa. Kwahiyo ili ujifunze somo hili sharti usomee Falsafa. Limekaa kinadharia sana.
Kwa hiyo halina implication yoyote kwenye maisha ya dunia hii?
 
Back
Top Bottom