Lecturer ni mwalimu au mkufunzi wa chuo kikuu mwenye shahada ya uzamivu (Phd) na Lecture ni ufundishaji unaofanywa na mwalimu kwenye kipindi cha somo fulani ambapo mwalimu ndiye anayeongea na kutoa maarifa au ujuzi flani kwenye kipindi darasani bila kupokea maoni/mawazo ya wanafunzi wake kuhusu mada husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.