Crdb wanatabia ya kukata rejesho la kwanza kwenye amount ya mkopo hata kama kwenye salary ulishakatwa cha kufanya rudi kwa afisa mkopo atakufanyia process kuna amount itarudiashwa kwakoCRDB ni ovyo mwenyewe imenichukua miezi 2 kupata mkopo, ajabu sasa makato ndio nimekoma wamekata laki 7 kwa mkopo wa mil 13. Kama processing fees.
Kesho yake nikakatwa elfu 15 statement inanambia ni fee ya kuendesha akaunti kwa mwaka. Hapa nawawaza hata sina jibu
In short, financial system haiko balanced in Tanzania,mtoto wa mkulima ndo analea matajiri woteCRDB ni ovyo mwenyewe imenichukua miezi 2 kupata mkopo, ajabu sasa makato ndio nimekoma wamekata laki 7 kwa mkopo wa mil 13. Kama processing fees.
Kesho yake nikakatwa elfu 15 statement inanambia ni fee ya kuendesha akaunti kwa mwaka. Hapa nawawaza hata sina jibu
Wanaibaje mkuu?Kwenye top-up wanaiba kwelikweli
Kwenye top up tunapigwa sana mzee. Usiingie kwenye huo mtego kabisaHawa jamaa ni wezi, hasa kwenye kutop up
Huna jibu ? Hama mzee. Wale jamaa hamna kitu siku hiziCRDB ni ovyo mwenyewe imenichukua miezi 2 kupata mkopo, ajabu sasa makato ndio nimekoma wamekata laki 7 kwa mkopo wa mil 13. Kama processing fees.
Kesho yake nikakatwa elfu 15 statement inanambia ni fee ya kuendesha akaunti kwa mwaka. Hapa nawawaza hata sina jibu
Ukifanya hesabu kwenye top up utagundua ni sawa na kuwalipa mkopo uliochukua mwanzoWanaibaje mkuu?
Hii habari mbaya sana mzee. Unakataje hela ya mtu bila kumpa chake kwanza ?Mkuu inaonekana uko vzur Sana masuala ya benki funguka ,mm mwenyewe ni mhanga wa hilo niliprocess mkopo wameanza na kukata ela yao lakini bado hawajanipatia hela nilipoenda kuwaulizia wanarukaruka tu Mara Leo Mara system bado ni wiki tena leo inakatika
Ukweli uliyoandika hapa ni mchungu lakini ndio uhalisia wenyewe. Benki zipo kwa ajili ya kufanya biashara full stop.Umesema kweli. ....kama mtu una njia nyingine ya kupata mtaji japo kidogo au kujipanga kwa muda hata mwaka sikushauri ukope Bank......
Nilikopeshwa milioni 60 kwa miaka 2 .Kwanza nilisubiri kama miezi 4 ili matayarisho yakamilike, tathmini na mikataba mingine yaliyogharimu takriban 6milioni.Jumla ya marejesho yote kwa hizi 60mil ni 84milioni. Ni biashara gani ya 60milioni inayotoa 24milioni.
Kwa kifupi benki hazipo kuwasaidia watu bali kufanya biashara na tena za kinyonyaji.
InawezekanaOkey sawa nimekupata,yap nasikia kuna percent loan officer anapata anapowezesha mtu kukopa.
Upo Kama
Sawa bossWatanzania acheni ujinga. Bank zimejaa bado mnajazana huko CRDB wamejaa utapeli.
Nendeni hata equity bank mbona wako vizuri
Mkopo ukiisha hama kabisaYaani CRDB ni hovyo, mimi nimeanza kukatwa kablaya mkopo wenyewe! Hapa nawaza cha kuwafanya
Acha kabisa mzee. CRDB kwa sasa wamekua washenzi kupitilizaMimi nimeamua kuachana na posi yao siwezi Kuwa mtumwa wao yaani unafanya muamala karibu 400 kwa mwezi unachoambulia ni cha hivyo kabisa.
Japokua sina uhakika sana lakini inawezekana wanatoa kwa mafungu. CRDB kwa kweli iliondoka na KimeiCRDB kupata mkopo baada ya mwezi 1 hata kama umejaza na kurudisha form.
Huwa wanadanganya mfumo lakini si kweli wanatoa kwa mafungu.
CRDB imeondoka na Kimei
Aisee . . . Bora haoCRDB now imekuwa ya ajabu mno ingawa naitumia.mkuu kwenye mikopo mwalimu commercial bank wapo vizur ingawa wanakukata kwanza then ndo wanakupa.ila kwenye top up wapo vizuri sana.mi nilipofanya top up,siku nilipopitisha kwa HR nikawatumia.baada ya saa 5 mzigo ukaingia ndani ya cku moja.yaani nilifurahi hadi nikasahau machungu ya kukatwa.
Naomba mfafanue kidogo...wanaibaje?...nataka nika Top upKwenye top-up wanaiba kwelikweli
Ndio maana walimuambia haraka njoio wakijua mambo sio sawa, kwa ajili ya kuonyesha kuwa anafanya kazi analeta wateja.Kufuatilia mkopo wapo, nadhani unajua anapata commision kwa kila mkopo unao kamilika.. so anakuona mtu muhimu sana.
Hutakiwi kumpa hata cent 5.